Bodaboda watajwa vinara kwa umbea

Dar es Salaam. Kwenye vijiwe vya bodaboda mitaani kuna pilikapilika nyingi, baadhi ya abiria wakiwa na watu maalumu wa kuwabeba, huku wengine wakipanda pikipiki yoyote wanayoikuta kijiweni. Katika vijiwe hivi wapo madereva maarufu, wacheshi na wachangamfu unaoweza kusema ni watu wa watu. Hakuna abiria anayepanda pikipiki zao pasipo kutabasamu. Safari iwe ndefu au fupi, wanaweza…

Read More

Bodaboda watajwa vinara kwa umbeya

Dar es Salaam. Kwenye vijiwe vya bodaboda mitaani kuna pilikapilika nyingi, baadhi ya abiria wakiwa na watu maalumu wa kuwabeba, huku wengine wakipanda pikipiki yoyote wanayoikuta kijiweni. Katika vijiwe hivi wapo madereva maarufu, wacheshi na wachangamfu unaoweza kusema ni watu wa watu. Hakuna abiria anayepanda pikipiki zao pasipo kutabasamu. Safari iwe ndefu au fupi, wanaweza…

Read More

Polisi yatangaza ajira, vijana wapewa kipaumbele

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetangaza nafasi za ajira kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu ya shahada, stashahada, astashahada, kidato cha sita na cha nne wenye sifa mbalimbali. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camilius Wambura, Machi 20, 2025 vijana wanaohitajika wanatakiwa kuwa raia wa Tanzania kwa…

Read More

WARATIBU WA MFUKO WA TASAF WATAKIWA KUHAKIKISHA WALENGWA WA MFUKO HUO HAWAONDOKI NDANI YA VIKUNDI

Na Mwandishi wetu Dodima Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini (TASAF),Peter Ilomo amewataka waratibu wa mfuko huo wa halmashauri na mikoa,kuhakikisha walengwa waliohitimu kupokea fedha za Kaya maskini,hawatoki katika vikundi vya ujasiriamali,ili wazidi kujiinua kiuchumi. Ilomo ameyabainisha hayo Wilayani Kongwa mkoani Dodoma wakati wa ziara ya kutembelea…

Read More