Unafunga na una kisukari? Zingatia haya

Katika kipindi hiki cha Ramadhani kwa Waislamu na Kwaresima kwa Wakristo, waumini wengi wanatamani kufunga kama sehemu ya ibada yao. Hata hivyo, kwa wagonjwa wa kisukari, kufunga kunaweza kuwa changamoto kubwa kutokana na athari za mabadiliko ya sukari mwilini. Mwongozo wa kufunga kwa usalama kwa wagonjwa wa kisukari, unategemea mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia. Kabla…

Read More

Fanya mambo haya baada ya kufungua funga ya Ramadhani

Wiki iliyopita tuliona matatizo ya kiafya yanayoweza kujitokeza wakati wa kufunga, yaani kujinyima kula kwa zaidi ya saa 16. Leo tutaona vitu vya kufanya kujikinga matatizo ya kiafya kutokana na kufunga. Kunywa maji: Kunywa maji mara kadhaa usiku kucha angalau glasi 10 baada ya kufungua mpaka kulala. Kunywa hata kama hujisikii kiu, hali ya kiu…

Read More

Sababu Yanga kuitwa kambini fasta

WACHEZAJI wa Yanga wamerejea mazoezini baada ya kuwa na mapumziko ya takribani wiki moja tangu watoke kuichapa Coastal Union mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 32 bora michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), Machi 12 mwaka huu. Kabla ya kucheza na Coastal, Machi 8 mwaka huu Yanga ilitarajiwa kuikabili Simba katika mchezo wa Ligi…

Read More

Mastaa wamtaja kipa bora wakiwachambua Camara, Diarra

UKIANGALIA takwimu za makipa wenye cleansheet nyingi kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu, Moussa Camara wa Simba anaongoza akiwa nazo 15, akifuatiwa na Djigui Diarra wa Yanga mwenye 11. Makipa hao ambao wote ni raia wa kigeni, Camara akitokea Guinea na Diarra nchini Mali, wamekuwa wakicheza kikosi cha kwanza kwenye klabu zao sambamba na timu…

Read More

Ufadhili wa Amerika Kufungia Mgogoro wa Ulimwenguni katika Haki za Binadamu na Demokrasia – Maswala ya Ulimwenguni

Usambazaji wa mchele kwa jamii zilizo hatarini huko Port-au-Prince, Haiti, na USAID, Picryl. Maoni na Tanja Brok (Hague, Uholanzi) Jumatano, Machi 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Hague, Uholanzi, Mar 19 (IPS) – uchunguzi mpya uliofanywa na Mfumo wa EU kwa mazingira ya kuwezesha . Pamoja na 67% ya mashirika yaliyochunguzwa moja kwa moja…

Read More

Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitarajia kufanya sensa ya uzalishaji viwandani mwaka huu, wamiliki wametakiwa kutoa ushirikiano unaohitajika kufanikisha kazi hiyo. Mara ya mwisho sensa ya aina hiyo ilifanyika mwaka 2013 iliyoonyesha idadi ya viwanda vilivyokuwepo ni 49,243 ndani yake vikiwamo vidogo kabisa, vidogo, vya kati na vikubwa. Sensa hiyo itakusanya taarifa muhimu za kiwanda,…

Read More

EWURA YAPOKEA MAONI YA WADAU KUHUSU UBORA WA HUDUMA

Mhandisi Mwandamizi wa Maji na Usafi wa Mazingira Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Amani Nyekele akiwapitisha washiriki wa mkutano katika vipengele vya Kanuni vinavyopendekezwa kuboreshwa, wakati wa mkutano wa EWURA na Watendaji wa Mamlaka za Maji nchini jijjni Dar es Salaam leo 20 Machi 2025 Na.Mwandishi Wetu-Dar es Salaam: Mamlaka…

Read More