
March 2025


NMB Yaendeleza Utamaduni wa Futari ya Kipekee kwa watoto vituo vitano na Wabunge Dodoma
Na Mwandishi Maalum Moja ya matukio makubwa nchini wakati jua linazama Jumatano wiki hii ilikuwa ni futari ya kukata na shoka iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya watoto waishio katika mazingira magumu pamoja na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika kuendeleza jadi yake ya kutoa misaada ya kijamii, Benki…

WANYAMAPORI WAPAMBA SIKU YA MISITU DUNIANI
Na John Mapepele Kwa mara ya kwanza katika historia ya maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani ya mwaka huu hapa nchini yanayofanyika katika viwanja vya Saba Saba Mjini Njombe Wizara ya Maliasili na Utalii imeandaa maonesho maalum ya mnyororo wa thamani wa sekta ya misitu pamoja na Wanyamapori. Kwa vipindi tofauti wakikagua maandalizi…

RAIS DKT. SAMIA ACHANGIA SH. MILIONI 50 KUMUENZI PADRI SHIRIMA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya maendeleo ya Shule ya Sekondari ya Seminari Uru, mkoani Kilimanjaro. Mchango huo umetolewa ili kuweka alama ya kumbukumbu ya kumuenzi marehemu Padri Canute Mkwe Shirima AJ, aliyewahi…

Waziri Ulega ‘awafyatua’ watumishi mizani
Dodoma. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewasimamisha kazi watumishi wa mizani waliokuwa zamu katika mizani kutoka Tunduma, Mkoa wa Songwe, hadi Vigwaza, Mkoa wa Pwani, kupisha uchunguzi. Agizo hilo limetolewa leo, Alhamisi, Machi 20, 2025, na Waziri Ulega, ambaye ameunda timu ya wataalamu kuchunguza tuhuma zinazowagusa watumishi hao waliokuwa zamu Machi 13, 2025. Hatua hiyo…

Joto la urais Tanzania lazidi kupanda
Dar es Salaam. Kumekucha. Joto la urais wa Tanzania na Zanzibar limeanza kupanda katika baadhi ya vyama vya siasa kwa baadhi ya makada kutangaza nia au kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa kuwania nafasi hiyo ya juu. Tayari baadhi ya waliotangaza nia ya kuutaka urais kupitia vyama vyao, wameshaweka wazi vipaumbele vyao endapo watapewa ridhaa…

Rais Samia mgeni rasmi kuapishwa Rais wa Namibia
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Jamhuri ya Namibia kesho Ijumaa Machi 21, 2025 kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais mteule wa nchi hiyo, Netumbo Nandi-Ndaitwah. Rais Samia amealikwa kama mgeni rasmi na anatarajia kuhutubia kwenye sherehe hizo za uapisho zitakazofanyika sambamba na maadhimisho ya miaka…

Walio sekta isiyo rasmi waanza kusajiliwa
Dar es Salaam. Wakati kutanua wigo wa wawalipa kodi ikiwa moja ya jambo linalopigiwa chapuo, Serikali imeanza kuwasajili watu wanaofanya shughuli zao katika mfumo usiokuwa rasmi. Hiyo inajumuisha wafanyabiashara, wazalishaji, wachuuzi na watoa huduma mbalimbali waliopo nchini kupitia tovuti maalumu ya Vibindo Tanzania. Vibindo Tanzania ni jumuiya inayokusanya vikundi 748 kutoka maeneo mbalimbali nchini ambapo…

Yanga Yavunja Rekodi Za Simba Ndani Ya Dakika 90 – Global Publishers
Last updated Mar 20, 2025 BAADA ya dakika 90 Kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake kukamilika na ubao kusoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess rekodi ya timu hiyo kutopoteza pointi tatu ndani ya msimu wa 2024/25 imeyusha mazima na watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba Queens kucheza mechi 12…

Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari kwa Wateja wake Dar es Salaam, Mwanasheria Mkuu Asisitiza Taasisi za Fedha Kuheshimu Imani za Wateja.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw Hamza Saidi Johari jana aliongoza mamia ya Waislamu ambao ni wateja wa benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwenye hafla fupi ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo huku akisisitiza umuhimu wa taasisi za fedha nchini kuzingatia mahusiano na huduma zinazo heshimu sheria, imani na misingi ya dini za wateja. Hafla…