Kampeni ya UEFA Priceless: Chanja Kijanja, Shinda na Ufurahie Fainali za UEFA na Mastercard ya Benki ya Exim

Benki ya Exim Tanzania, kwa kushirikiana na Mastercard, wamezindua rasmi Kampeni ya UEFA Priceless, mpango kabambe unaolenga kuhamasisha matumizi ya Exim Mastercard huku ukiwapa wateja fursa ya kushinda zawadi ya kipekee. Kampeni hii, itakayodumu hadi Aprili 30, 2025, itawazawadia watumiaji wa Mastercard safari ya kifahari iliyolipiwa kikamilifu kwenda Amboseli, Kenya kwa ajili ya kushuhudia mechi…

Read More

Sugu athibitisha kugombea ubunge Oktoba

Mbeya. Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema licha ya kutokuwa sehemu ya maamuzi ya kugawa jimbo hilo, lakini ni miongoni mwa wanaosubiri mchakato huo kukamilika, huku akikanusha taarifa za kuwa hatagombea. Pia, amesisitiza kuwa anachosubiri ni uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kuligawa jimbo hilo linaloongozwa na Spika…

Read More

SOUWASA YA PITA NYUMBA KWA NYUMBA KUHAMASISHA WATEJA WALIOSITISHIWA HUDUMA HIYO KUIREJESHA NDANI YA WIKI YA MAJI.

 Belinda Songea: NA BELINDA JOSEPH, SONGEA. Katika kuadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea SOUWASA, imezindua kampeni maalumu kuelekea kilele cha wiki hiyo, kwa lengo la kuhamasisha wateja waliositishiwa huduma kulipia nusu ya deni lao na kurejeshewa huduma,  Kampeni hii imewekwa mkazo mkubwa katika kuelimisha na kuwahimiza wateja kurejesha…

Read More

Wenye daladala, abiria waeleza adha ukaguzi wa trafiki

Dar es Salaam. Wakati ukaguzi unaofanywa na trafiki kwa magari ya daladala ukilalamikiwa na baadhi ya wamiliki wakidai wanakomolewa, Umoja wa Wamiliki wa Daladala Mkoa wa Dar es Salaam (Darcoboa) umesema huo ni ukaguzi wa kawaida dhidi ya magari mabovu. Ukaguzi huo ulioanza Jumatano, Machi 19, 2025, kwa kuangalia makosa mbalimbali kwenye magari hayo yanayofanya…

Read More

M23 wauteka mji mwingine DRC, Serikali yathibitisha

Goma. Kundi la waasi wa M23 limetangaza kuutwaa Mji wa Walikale nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuvifurusha vikosi vya Jeshi la Serikali ya nchi hiyo (FARDC). Taarifa ya M23 kuudhibiti Mji wa Walikale ambao ni wa kimkakati uliopo uelekeo wa Magharibi mwa DRC, imetolewa leo Alhamisi Machi 20, 2025, kupitia taarifa ya…

Read More

Joto la urais lazidi kupanda Tanzania

Dar es Salaam. Kumekucha. Joto la urais wa Tanzania na Zanzibar limeanza kupanda katika baadhi ya vyama vya siasa kwa baadhi ya makada kutangaza nia au kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa kuwania nafasi hiyo ya juu. Tayari baadhi ya waliotangaza nia ya kuutaka urais kupitia vyama vyao, wameshaweka wazi vipaumbele vyao endapo watapewa ridhaa…

Read More

Bombadier Q400 kuanza kutua kiwanja cha ndege Shinyanga

Shinyanga. Kukamilika kwa ujenzi wa kiwanja cha ndege Shinyanga Juni 10, 2025, kutawezesha ndege aina ya Bombadier Q400 kuanza kutua kwenye kiwanja hicho. Akizungumza leo Alhamisi Machi 20, 2025, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde amesema ujenzi wa kiwanja hicho umefikia asilimia 75. “Njia za kuruka na kutua ndege, maegesho na barabara…

Read More

Chadema Mbeya yaeleza Lissu, Heche watakavyoshambulia Nyasa

Mbeya. Wakati Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitarajia kuzindua kampeni yake ya ‘No Reforms No Election’ kwa kufanya mikutano ya nchi nzima, jijini Mbeya, viongozi wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu na John Heche wamegawanywa mikoa tofauti ya Kanda ya Nyasa kuhakikisha wanawafikia wananchi na wafuasi wake. Lengo la kampeni hiyo ni kupeleka elimu…

Read More