Tarura yajenga madaraja 400 ya mawe nchini

Dar es Salaam. Ili kuboresha mtandao wa barabara za vijijini na mijini, Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura) unatumia mbinu mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa madaraja ya mawe, ambapo gharama yake ni nafuu, ikiokoa hadi asilimia 80 ya gharama. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi, Machi 20, 2025, na Mhandisi Mshauri wa Tarura, Phares Ngeleja,…

Read More

WASIRA AJITOSA MGOGORO WA ARIDHI YA WAKULIMA MBARALI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Mbarali MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen ametoa maelekezo kwa Waziri wa Aridhi, Nyumba na Maendeleo ya Mkazi na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuweka utaratibu mzuri wa kugawa sehemu ya ardhi kwa wananchi wa Mbarali wayatumie kwa shughuli za kilimo. Miongoni mwa ardhi hiyo ni sehemu ya mashamba yaliyokuwa…

Read More

BAHATI NASIBU YA TAIFA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA KUPANUA UPATIKANAJI WA MICHEZO YA KUBAHATISHA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Posta Tanzania limeingia makubaliano ya ushiriano na Bahati Nasibu ya Tanzania ili kuongeza upatikanaji wa michezo ya kubahatisha nchini. Kwa kutumia miundombinu madhubuti ya Shirika la Posta Tanzania, Jukwaa la Bahati Nasibu ya Taifa linalenga kutoa michezo iliyo rafiki, rahisi na yenye uwazi kwa washiriki wote, ikiimarisha…

Read More

MSD yasema SPPS ipo palepale

Dodoma. Nchi za Jumuiya ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimefumua upya mpango wa ununuzi wa pamoja wa bidhaa za afya (SPPS), unaoratibiwa na Tanzania chini ya Bohari ya Dawa (MSD), ili kuondoa changamoto zilizokuwepo awali. Makubaliano hayo yalifikiwa Novemba Mwaka 2017, mawaziri wa afya wa SADC na mawaziri wanaohusika na VVU na Ukimwi wakati wa…

Read More

TIB YAWEKEZA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 630 ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Na Mwandishi wetu Dodoma Benki ya Maendeleo (TIB) inajivunia kutekeleza malengo ya Serikali kwa kuwekeza zaidi ya Shilingi 630.3 bilioni katika miradi ya maendeleo ambazo zimezalisha zaidi ya ajira mpya 12,547. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki huyo Lilian Mbassy ameyazungumza hayo katika Mkutano na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Benki hiyo katika kipindi…

Read More

Doyo achukua fomu ya Urais NLD, ataja vipaumbe 10

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa chama cha NLD, Hassan Doyo amechukua fomu ndani ya chama hicho kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania, huku akieleza sababu ya kutaka nafasi hiyo, akibainisha vipaumbele kumi. Doyo amesema vipaumbele hivyo atavitumia iwapo chama hicho kitampitisha kuwania urais kuvinadi kwa wananchi ambao nao wakimpa ridhaa ya kuwaongoza…

Read More

Doyo kuwania urais Tanzania, ataja vipaumbele 10

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa chama cha NLD, Hassan Doyo amechukua fomu ndani ya chama hicho kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania, huku akieleza sababu ya kutaka nafasi hiyo, akibainisha vipaumbele kumi. Doyo amesema vipaumbele hivyo atavitumia iwapo chama hicho kitampitisha kuwania urais kuvinadi kwa wananchi ambao nao wakimpa ridhaa ya kuwaongoza…

Read More