AKILI ZA KIJIWENI: Tumeshtukia wajanja dili la Sowah

YULE Jonathan Sowah ni ingizo muhimu sana kwa Singida Black Stars katika dirisha dogo lililopita kutokana na kasi yake ya kufumania nyavu akimfunika hadi straika aliyemkuta Elvis Rupia. Namba hazidanganyi bhana kwani Sowah katika mechi saba alizocheza ameshafunga mabao saba kwamba ana wastani wa bao moja katika kila mchezo wa Ligi Kuu Bara sasa kupinga…

Read More

Daktari aeleza madhara ya mapengo, aonya ukeketaji viungo kinywani

Mwanza. “Tunakosa vingi sana.” Ndivyo anavyoanza kusema mkazi wa Tarime mkoani Mara, Christopher Sereri (52) akieleleza magumu anayopitia kutokana na mapengo aliyoyapata baada ya kung’oa meno sita kwenye. Sereri ambaye amesumbuliwa na meno kwa zaidi ya miaka 21 iliyopita anasema kutokana na kusumbuliwa na tatizo la kutoboka meno alilazimika kung’oa, huku akilalamika kukosa vinono kutokana…

Read More

INEC yabaini watu kujiandikisha zaidi ya mara moja Dar

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikiendelea kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura mkoani Dar es Salaam, imesema kumejitokeza changamoto ya baadhi ya watu kujiandikisha zaidi ya mara moja katika vituo tofauti. INEC imesema hayo leo Machi 20, 2025 katika taarifa kwa umma kuhusu uandikishaji wapigakura mkoani Dar es Salaam, iliyosainiwa…

Read More

Mbinu za kulinda mtaji wa biashara

Mtaji ni kitu cha thamani sana kwa biashara yoyote. Ni msingi ambao biashara husimama na kukua, hivyo kulindwa kwake ni jambo la lazima. Mtaji unaweza kupatikana kwa njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mkopo. Hata hivyo, mtaji unaweza kupungua au kupoteza. Ikiwa umekopa na mtaji ukapotea, unaweza kupoteza dhamana na imani ya kukopesheka tena, hali…

Read More

Mechi za Nations League Kukutajirisha Leo

ALHAMIS ya leo hii mechi kali za Mataifa kule Ulaya zinapigwa huku nafasi ya wewe kuondoka na zaidi ya Mamilioni ikiwa mikononi mwako. Chagua timu zako za ushindi na ubashiri hapa. Mapema kabisa Turkey watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Hungary ambao kushinda mechi hii wamepewa ODDS 4.40 kwa 1.85. Mara ya mwisho kukutana timu hizi…

Read More

Kwa nini Pro-Israeli, watetezi wa pro-peace wanashikilia kunyimwa mauaji ya kimbari-masuala ya ulimwengu

Afrika Kusini iliweka yakeKesi ikimtuhumu Israeli kwa kukiuka Mkutano wa Kimbariakielekeza hali hiyo katika eneo lililokuwa limepigwa na Gaza, nyumbani kwa Wapalestina milioni 2.3. Januari 2024. Mkopo: Umoja wa Mataifa. Maoni na Norman Solomon (San Francisco, USA) Alhamisi, Machi 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari San Francisco, USA, Mar 20 (IPS) – Shambulio jipya…

Read More