Kanda ya Ziwa ilivyopindua meza mapato ya halmashauri

Kabla ya mwaka 2022 Kanda ya Dar es Salaam ilikuwa ukiongoza katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ya halmashauri nchini, ikiziacha mbali kanda nyingine tano. Hata hivyo, mwaka 2023 ulikuja kivingine baada ya Kanda ya Ziwa kujinasua kutoka nyuma na kusimama kileleni katika orodha ya kanda zenye makusanyo makubwa ya mapato ya halmashauri. Kanda ya…

Read More

Fanya hivi kujilinda fedha zako dhidi ya udanganyifu

Makala mbili zilizopita tulizungumzia kuhusu udanganyifu wa kifedha maarufu kama Ponzi, tukiangilia asili yake, tabia zake na namna ya kugundua, leo tutazungumzia namna ya kuruka mtego wake na njia za kujilinda ili usipoteze pesa. Ulinzi bora dhidi ya mifumo ya Ponzi ni elimu. Kwa kuelewa alama za udanganyifu na kuwa na shaka kuhusu ahadi zinazotolewa…

Read More

TFF yaufungulia uwanja wa CCM Kirumba

SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeufungulia Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kufanyiwa marekebisho. Kupitia taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo imeeleza kuwa uwanja huo ulifungiwa kutokana na miundo mbinu hiyo kutofaa. “Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limeufungulia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kutumika kwa michezo ya Ligi baada…

Read More

Mwanamke akutwa amefariki ‘gesti’, kitambaa usoni

Mwanza. Mwanamke mmoja ambaye bado hajafahamika, amekutwa amefariki dunia katika chumba cha nyumba ya wageni eneo la Usagara, Wilaya ya Misungwi jijini hapa. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa jioni ya jana Jumatano  Machi 19, 2025  imeeleza kuwa  mwanamke huyo alikutwa amefariki dunia kwenye chumba namba tatu katika nyumba hiyo…

Read More

Upasuaji wa kutumia mawimbi ya sauti kwa mara ya kwanza wafanyika Benjamin Mkapa

Dodoma. Hospitali ya  Benjamin Mkapa (BMH) iliyopo jijini hapa  imefanya operesheni ya kwanza ya ubongo kwa kutumia teknolojia ya mawimbi ya sauti (High-intensity Focused Ultrasound -HIFU) na kufanikiwa kutoa damu  iliyokuwa imevilia kwenye ubongo wa mgonjwa. Akizungumza leo  Alhamisi Machi 20, 2025, Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu ambaye aliongoza jopo…

Read More

Russia, Ukraine zabadilishana wafungwa 372 wa kivita

Kyiv.  Ukraine na Russia zimefanya mabadilishano ya wafungwa wa kivita 372 kupitia mpango ulioratibiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Wizara ya Ulinzi ya Russia imethibitisha kuwaachilia wanajeshi 175 na wafungwa 22 wa Ukraine waliojeruhiwa vibaya na wanaohitaji msaada wa haraka wa matibabu kwenda kuungana na wapendwa wao nchini Ukraine. Shirika la Habari la…

Read More