Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: March 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • Page 5
Habari

Hali ilivyokuwa siku ya mwisho uboreshaji daftari la mpigakura Dar

March 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati leo Machi 25, 2025 ikiwa ni siku ya mwisho ya uboreshaji wa daftari la mpigakura kwa Mkoa wa Dar es Salaam,

Read More
Habari

Kamati ya Bunge yataka ubunifu unufaishe wananchi

March 25, 2025 Admin

Arusha. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kutangaza na

Read More
Habari

Rais Samia afanya uteuzi, Matinyi apelekwa Sweden

March 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa nafasi mbalimbali pamoja na kupangia vituo vya kazi mabalozi ambapo Balozi Mobhare Matinyi amepangiwa kuwa Balozi wa

Read More
Habari

Aga Khan, Wizara ya Afya waanza safari kupambana na saratani Zanzibar

March 25, 2025 Admin

Unguja. Wizara ya Afya Zanzibar imetiliana saini mkataba wa makubaliano na Taasisi ya Aga Khan kuhusu ushirikiano katika mapambano dhidi ya magonjwa ya saratani kwa

Read More
Habari

Mtifuano mabasi ya Ngorika, Jaji ashusha rungu

March 25, 2025 Admin

Moshi. Kwa waliokuwa wakisafiri kwa mabasi ya Ngorika kutoka Moshi hadi Dar es Salaam miaka ya 90, wanaweza kuwa na swali, ni wapi mabasi hayo

Read More
Habari

Wataja vinavyokwamisha vijana kujitosa kwenye uongozi

March 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katika hali ambayo ushiriki wa vijana na wanawake katika uongozi bado uko chini, wadau wa usawa wa kijinsia wamewahimiza makundi hayo kujitokeza

Read More
Habari

Maji safi saa 24 bado kitendawili, wananchi wapaza sauti

March 25, 2025 Admin

 Dar es Salaam.  Wakati kiwango cha upatikanaji maji kikitakiwa kuwa saa 24 kwa siku, ripoti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji

Read More
Habari

Kituo cha Polisi chafungwa kisa deni la Sh40.9 milioni ya pango

March 25, 2025 Admin

Kenya. Katika hali isiyo ya kawaida Kituo cha Polisi cha Riandira Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya kimefungwa kwa muda usiojulikana kutokana na malimbikizi ya deni

Read More
Habari

Migogoro ya kifamilia inavyochangia matatizo ya afya ya akili kwa wanandoa

March 25, 2025 Admin

Mbeya. Wanandoa walio wengi wako hatarini kupatwa na magonjwa ya afya ya akili, wasiwasi na mfadhaiko na kuto kushirikiana tendo la ndoa kutokana na migogoro

Read More
Habari

Chadema yamjibu Msajili sakata la Mchome

March 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amemjibu ‘kiaina’ Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, akisema kikao cha Baraza Kuu la

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 4 5 6 … 170 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.