
Hali ilivyokuwa siku ya mwisho uboreshaji daftari la mpigakura Dar
Dar es Salaam. Wakati leo Machi 25, 2025 ikiwa ni siku ya mwisho ya uboreshaji wa daftari la mpigakura kwa Mkoa wa Dar es Salaam, baadhi ya wananchi wamesema hawakupata taarifa ya uongezwaji wa siku mbili, pia shughuli zao za kila siku ndiyo zimewafanya kwenda vituoni kwa wingi hasa muda wa jioni. Hata hivyo, wamepongeza…