Kamati ya Bunge yataka ubunifu unufaishe wananchi

Arusha. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kutangaza na kusambaza ubunifu wake wa kiteknolojia ili ufanikishe malengo ya kuleta manufaa kwa jamii ya Watanzania na Bara la Afrika kwa ujumla. Licha ya NM-AIST kuwa na uwezo mkubwa katika kukuza…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi, Matinyi apelekwa Sweden

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa nafasi mbalimbali pamoja na kupangia vituo vya kazi mabalozi ambapo Balozi Mobhare Matinyi amepangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Mobhare aliwahi kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo Desemba 8,  2024 aliteuliwa kuwa balozi lakini hakupangiwa kituo cha kazi. Kwa mujibu wa…

Read More

Mtifuano mabasi ya Ngorika, Jaji ashusha rungu

Moshi. Kwa waliokuwa wakisafiri kwa mabasi ya Ngorika kutoka Moshi hadi Dar es Salaam miaka ya 90, wanaweza kuwa na swali, ni wapi mabasi hayo yapo? Jibu ni kuwa, kulikuwa na mtifuano wa wanafamilia mahakamani. Miaka ya 1990 hadi 2000 mabasi ya Ngorika yalitoa ushindani kibiashara katika njia hiyo lakini yalipotea barabarani. Jaji Safina Simfukwe…

Read More

Wataja vinavyokwamisha vijana kujitosa kwenye uongozi

Dar es Salaam. Katika hali ambayo ushiriki wa vijana na wanawake katika uongozi bado uko chini, wadau wa usawa wa kijinsia wamewahimiza makundi hayo kujitokeza na kushiriki kikamilifu katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Ili kufanikisha hilo, vijana na wanawake wanahimizwa kujiamini, kuondoa hofu na woga na kushiriki…

Read More

Chadema yamjibu Msajili sakata la Mchome

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amemjibu ‘kiaina’ Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, akisema kikao cha Baraza Kuu la Chadema kilichoketi Januari 22, 2025, kilifuata utaratibu kwa mujibu wa Katiba ya Chadema. Utaratibu alioutaja Mnyika ni uliotajwa katika katiba ya chama hicho, Ibara ya 6.2;2 (a), inayotaja kuwa akidi…

Read More