
Maskini Rama! Ana Miaka 17, Tazama Alivyo Aomba Kusadiwa – Video – Global Publishers
Ama kweli kabla haujafa, haujaumbika! huyu ni Ramadhan, kijana mwenye umri wa miaka 17, ambaye kutokana na tatizo lake la kiafya, ameshindwa kuwa kama vijana wengine wa rika lake, kielimu na katika maendeleo ya kimwili. Ramadhan amekatishwa ndoto zake za kusoma baada ya ngozi yake kuota hadi usoni, jambo lililomfanya apitie maumivu…