
Sheikh Njalambaha: Watanzania tusikubali fikra mbaya kuelekea Uchaguzi Mkuu, tuliombee Taifa
Mbeya. Viongozi wa dini ya Kiislamu Mkoa wa Mbeya wamefanya dua maalumu ya kuliombea Taifa na viongozi wa Serikali akiwepo Rais Samia Suluhu Hassan katika kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Mbali na dua hilo wakikemea baadhi ya Watanzania kujiepusha na fikra mbaya za kujihusisha uvunjifu wa amani na badala yake kuombea utulivu na amani kwa…