TANZANIA YAJIPANGA NA MAAMUZI YA RAIS TRUMP KUHUSU ARV

  BOHARI  ya Dawa (MSD), imesema  kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika.  Mapema mwaka huu, mara baada ya kuapishwa Rais Trump alitangaza kusitisha misaada yote iliyokuwa ikitolewa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID) ikiwamo…

Read More

TANZANIA INATARAJIA KUPOKEA DOLA MILIONI 74 KUTOKA IFAD

  Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akizungumza wakati alipokukutana na kufanya mazunguzo na Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng ambaye alifika Wizarani hapo kujitambulisha, jijini Dodoma.Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng, akizungumza…

Read More

Wafanyabiashara walikimbia Soko la Mkwajuni

Unguja. Licha ya Serikali kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara ikiwemo kujenga masoko ya kisasa katika maeneo mbalimbali, bado mwitikio wa wafanyabiashara ni mdogo wa kufanya biashara katika masoko hayo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Machi 19, 2025, Mkuu wa Soko la Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja, Abdalla Silima Makame amesema tangu lilipofunguliwa soko hilo bado…

Read More

Matumizi ya mbolea yameongeza tija kwenye kilimo

Dodoma. Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imebaini ongezeko kubwa la matumizi ya mbolea nchini, ambapo matumizi ya virutubisho kwa hekta yameongezeka kutoka kilo 19 mwaka 2020/21 hadi kufikia kilo 24 mwaka 2024/25. Hali hiyo imeonyesha ni ishara ya mafanikio makubwa katika juhudi za kuboresha kilimo nchini, hasa kwa wakulima wa mazao ya kibiashara….

Read More

Viongozi CWT watakiwa kuacha uanaharakati

Kibaha. Mbunge wa Kibaha Mjini, Mkoa wa Pwani, Selvestry Koka amekemea vitendo vya uanaharakati ambao umekuwa ukijitokeza kwa baadhi ya viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) mkoani humo, kwamba huchochea uvunjifu wa amani. Mbunge huyo amewataka viongozi wapya wa chama hicho kujiepusha na vitendo hivyo na badala yake waungane na Serikali kutatua changamoto zinazowakabili…

Read More

Sabilo aitamani tena Ligi Kuu

KIUNGO mshambuliaji wa TMA, Sixtus Sabilo amesema licha ya ugumu anaokumbana nao kucheza Ligi ya Championship anaiona nafasi yake ya kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kushuka kiwango kwa muda. Sabilo amejiunga na TMA mwanzoni mwa msimu huu akitokea Polisi Tanzania ameliambia Mwanaspoti kuwa aliamua kushuka katika Ligi ya Championship kwa lengo la kuinua kiwango…

Read More