Tshisekedi, Kagame uso kwa uso Qatar, wakubaliana haya

Doha. Baada ya kutoleana maneno makali kupitia vyombo vya habari na wawakilishi hao, hatimaye mahasimu wawili, Rais wa Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda, Paul Kagame wamekutana ana kwa nama jijini Doha nchini Qatar. Mkutano huo unafanyika wakati kukiwa na hali ya hatari kutokana na mapigano yanayoendelea Mashariki mwa…

Read More

BODI YA USIMAMIZI WAPIMA ARDHI YAKUTANA DODOMA

Na Munir Shemweta, WANMM Bodi ya Usimamizi na Utoaji wa Leseni kwa Wapima Ardhi (Board of Control and Licensing of Surveyors-BCLS) imeanza kikao chake cha siku mbili jijini Dodoma ambapo katika kikao hicho inajadili na kupitia masuala mbalimbali ikiwemo mashauri ya kinidhamu kwa makampuni yaliyokiuka maadili, Kanuni na taratibu za upimaji. Moja ya jukumu la…

Read More

Bodi ya Ligi: Kama Yanga wameenda CAS ni kichekesho

Sakata la kuahirishwa kwa mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, iliyokuwa ichezwe Machi 8, 2025, limechukua sura mpya. Awali, suala hili lilionekana kama masihara, lakini sasa linaonekana kuingia katika hatua nzito. Mwananchi Digital imebaini kuwa Yanga imewasilisha rasmi kesi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) jijini Lausanne,…

Read More

WASIRA AMCHONGEA ‘MO DEWJ’ KWA SERIKALI KWA KUTELEKEZA MASHAMBA RUNGWE ,ATOA MAELEKEZO MAZITO

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira ameitaka serikali kupitia Wizara ya Kilimo kuangalia uwezekano wa ardhi inayomilikiwa na mwekezaji Mohammed Enterprises Ltd wilayani Rungwe mkoani Mbeya kama imemshinda na haizalishi irejeshwe serikalini ipangiwe matumizi mengine. Wasira alitoa kauli hiyo baada ya wananchi wa Tukuyu wilayani Rungwe mkoani…

Read More

PUMA Energy yawataka wakazi wa Dodoma kuchagua nishati safi kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi

   Kampuni ya Puma Energy Tanzania imezindua PumaGas jijini Dodoma, hatua inayoonyesha dhamira yake katika kuhakikisha suluhisho la nishati nafuu na ya uhakika kwa matumizi ya nyumbani na kibiashara nchini Tanzania.  Hatua hii inadhihirisha uungaji mkono wa kampuni wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024 2034), uliozinduliwa Mei 2024 na…

Read More

TUME KUONGEZA BVR VITUO VYENYE WATU WENGI DAR

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akimkabidhi kadi mpya ya Mpiga Kura Ndg. Abubakari Majuto mkazi wa Mzambarauni Kata ya Gongola Mboto Dar es Salaam ambaye ni mlemavu wa viungo alijitokeza kujiandikisha katika kituo cha Shule ya Msingi Mzambarauni leo Machi 18, 2025.Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa…

Read More