Katibu wa CCM Rombo afariki dunia akipatiwa matibabu

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, Marry Sule amefariki dunia jana usiku Machi 18, 2025 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Huruma. Taarifa za kifo chake zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii usiku huohuo zikieleza kuwa Katibu huyo amefariki muda mfupi baada ya kutoka kwenye chumba cha upasuaji kwenye Hospitali…

Read More

Siri zinazovutia mikutano ya kimataifa kufanyika Tanzania

Miongoni mwa sifa zinazotajwa za utawala wa hayati Rais John Magufuli ni kujifungia, kwa maana kuwa nchi ilikuwa haijichanganyi sana kidiplomasia. Mkuu wa nchi hakupenda safari za nje, lakini pia alipokea wageni wachache. Katika kipindi hicho, mkutano mkubwa uliofanyika ulikuwa mkutano mkuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) mwaka 2019,…

Read More

Mabadiliko ya kiuchumi miaka minne ya Rais Samia

Dar es Salaam. Ukuaji wa pato la Taifa Tanzania unatarajiwa kuongezeka hadi kufikia asilimia 6 mwaka huu kutoka asilimia 4.7 mwaka 2022, huku uwezeshaji wa biashara, utengenezaji wa mazingira rafiki ya uwekezaji, na ukusanyaji kodi vikitajwa kuwa sababu. Ukuaji huu unaendelea kushuhudiwa wakati ambapo idadi ya miradi mipya ya uwekezaji inayokuja Tanzania ikiongezeka maradufu, jambo…

Read More

Kocha ASEC Mimosas amaliza utata wa Aziz KI, Ahoua

KOCHA wa Asec Mimosas, Julie Chevalier, amewachambua viungo washambuliaji Jean Charles Ahoua na Stephane Aziz KI waliowahi kucheza Ligi Kuu ya Ivory Coast kabla ya sasa kukiwasha Ligi Kuu Bara. Mastaa hao wanaokipiga kwenye klabu mbili kubwa Ligi Kuu Bara, Ahoua anaichezea Simba na Aziz KI Yanga, wote ni tegemeo katika vikosi vyao. Akizungumza na…

Read More

Sura mbili za utawala wa miaka minne wa Rais Samia

Dar es Salaam. Ilianza siku moja, ukakatika mwezi, mwaka, hatimaye leo ni miaka minne, tangu Samia Suluhu Hassan aapishwe kuwa Rais wa Tanzania. Kwa mujibu wa wanazuoni mbalimbali, tathmini ya safari ya uongozi wake inabebwa na milima na mabonde, wakirejea mambo yaliyofanyika na ama kurejesha au kupoteza matumaini ya wananchi. Wasomi hao wabobevu katika taaluma…

Read More

Kocha amchomoa Nouma Simba | Mwanaspoti

KUNA mambo mawili ameambiwa beki wa kushoto wa Simba, Valentine Nouma na kocha wake ayafanyie kazi, huku kubwa zaidi akitakiwa kuchukua uamuzi wa kuondoka kikosini hapo. Nouma huu ni msimu wa kwanza anaitumikia Simba aliyojiunga nayo akitokea FC Saint Eloi Lupopo ya DR Congo ambapo jambo la pili aliloambiwa ni kupambana kuongeza muda wa kucheza….

Read More

Nukuu 10 za Samia zilizobamba ndani ya miaka minne

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa hotuba kadhaa zilizoacha alama kwenye siasa, uchumi, na maendeleo ya Tanzania. Kauli zake zimeonyesha mtazamo wake wa uongozi, dhamira ya kusukuma maendeleo, na msimamo wake katika masuala nyeti. Hizi ni baadhi ya nukuu zake 10 muhimu kuanzia mwaka 2021…

Read More