Upainia suluhisho endelevu za nishati barani Afrika – maswala ya ulimwengu

Tsvetina Chankova Maoni na Tsvetina Chankova (London) Jumanne, Machi 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LONDON, Mar 18 (IPS)-Mkutano wa 12 wa Sankalp Africa, uliofanyika mnamo Februari 26-27 jijini Nairobi, ulileta pamoja kikundi cha waanzilishi wa kuanza, wawekezaji, wajasiriamali na watengenezaji sera ili kuharakisha uvumbuzi unaohitajika ili kuongeza mabadiliko ya nishati ya Afrika. Mkutano…

Read More

Sh6.7 bilioni kupunguza msongamano wa wajawazito Kahama

Kahama. Idadi ya watoto wanaozaliwa katika Hospitali ya manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa siku ni 20 hadi 25, kwa mwezi ni watoto 675, jambo ambalo limetajwa kusababisha msongamano mkubwa kwenye wodi ya mama na mtoto hospitalini hapo. Kutokana na hali hiyo akina mama wanaojifungua watoto njiti kwenye hospitali hiyo wanakosa sehemu yenye stara kwa…

Read More

Watoto 641 wafanyiwa ukatili ndani ya miezi tisa Mwanza

Mwanza.  Watoto 641 wamefanyiwa ukatili wa kijinsia kwa kipindi cha miezi tisa kuanzia Oktoba, 2023 hadi Juni, 2024 katika Wilaya za Nyamagana na Ilemela mkoani Mwanza. Akifungua mafunzo  ya ulinzi wa mtoto na ukatili wa kijinsia awamu ya nne yanayoratibiwa na Shirika la Plan International leo Jumanne Machi 18, 2025 kwa niaba ya Kamanda wa…

Read More

Mambo matano yatakayomuinua mwanamke kiuchumi

Dar es Salaam. Hali ya kiuchumi ya mwanamke inategemea mambo mengi, lakini baadhi ya vipengele muhimu vinavyochangia mafanikio ni elimu, nidhamu, kujituma, kujiamini na uwepo wa rasilimali. Haya yamejidhihirisha kama silaha muhimu zinazoweza kumuinua mwanamke kiuchumi na kumwezesha kushiriki kikamilifu katika jamii. Kauli hiyo imeelezwa leo Machi 18, 2024 jijini Dar es Salaam na aliyekuwa…

Read More

Mitazamo tofauti sera mpya ya ardhi

Dar es Salaam.  Wakati Serikali ikizindua Sera ya Ardhi ya mwaka 1995 toleo la 2023, wadau wamesema angalau inaonesha matumaini katika kutatua migogoro ya ardhi, huku wakisisitiza Bunge kuharakisha marekebisho ya sheria ili ziendane na sera hiyo. Mbali na matumaini hayo, wametilia shaka baadhi ya vipengele, kikiwamo kwenye sekta ya milki wakisema biashara ya kujenga…

Read More

Wasira amuagiza Bashe kuzungumza na mwekezaji

Rungwe. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amemtaka Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kufanya mazungumzo na kampuni ya Mohammed Enterprises ili irejeshe mashamba ya chai ya Rungwe kwa wananchi kama imeshindwa kuyaendeleza. Msingi wa kuzungumza hivyo ni baada ya wananchi wa Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya, kumweleza kiongozi huyo kuwa ni muda…

Read More

ABC yabeba nyota wa BDL

ABC haitanii na imetoa fursa kwa vijana kujiunga na timu hiyo ikiwamo kupata nafasi ya kwenda mafunzo ya jeshi. Timu hiyo inayomilikiwa na Jeshi la Wanainchi wa Tanzania na inayoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Dar es Salaam (BDL) imenasa baadhi ya nyota wa ligi hiyowakiwamo Fotius Ngaiza (Vijana City Bulls) Stanley Mtungula (Dar City)…

Read More

Dakika 180 za moto KenGold

KENGOLD bado inapasua kichwa ikitaka kubaki Ligi Kuu Bara, lakini imezitaja mechi mbili zinazoweza kuwa kikazo kwao ambazo ni dhidi ya ni Simba na Azam FC. Kikosi hicho kimesalia na mechi saba, ambazo ni dhidi ya Azam (nyumbani), Dodoma Jiji (ugenini), Tanzania Prisons (nyumbani), Coastal Union (ugenini), Pamba Jiji (nyumbani), Simba (nyumbani) na Namungo (ugenini)….

Read More