Rekodi za Bocco Azam FC zinaishi

REKODI alizoacha John Bocco pale Azam FC, zimemfanya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Thabit Zakaria ‘Zaka Zakazi’, kumtaja kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote ndani ya kikosi hicho. Bocco ambaye aliichezea Azam kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia 2007 ilipokuwa Ligi Daraja la Kwanza kisha kuipandisha Ligi Kuu Bara 2008 na…

Read More

RC awashukia wanaokwamisha usajili stakabadhi ghalani

Shinyanga. Wakati Serikali ya Mkoa wa Shinyanga ikiwaonya baadhi ya wakulima na wafanyabiashara wanaokwamisha mfumo wa stakabadhi ghalani, wenyewe wamedai unachelewesha malipo na kuwakwamisha kiuchumi. Sintofahamu hiyo imetokana na kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha ambaye amesema kutojisajili kwa baadhi ya wakulima kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kunakwamisha juhudi za Serikali za…

Read More

Mjadala kuhusu Veta wamuibua Majaliwa, atoa maelekezo

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema mjadala ulioibuka kuhusu ushauri alioutoa kwa wahitimu wa vyuo vikuu kwenda kupata ujuzi vyuo vya ufundi stadi (Veta) una tija. Amesema mjadala huo una mambo mazuri ya kuishauri Serikali namna ya kuboresha mfumo wa ufundi stadi nchini, akiagiza watendaji kuchukua yaliyo mazuri yanayoshauriwa kupitia mjadala huo. Majaliwa…

Read More

Wakazi Dar waeleza walivyohenyeka kusaka maji

Dar es Salaam. Wakazi wa eneo la Dar es Salaam ya Kusini ikiwemo Bangulo, Kifuru wamesimulia namna walivyosumbuka kupata maji safi kwa muda mrefu, huku ikiwalazimu kujihimu kutafuta huduma hiyo maeneo ya jirani. Wameyaanika hayo walipozungumza na Mwananchi kwenye ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, iliyofanyika leo Jumanne Machi 18, 2025 kwenye mradi wa…

Read More

Majaliwa: Mjadala kuhusu Veta una tija

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema mjadala ulioibuka kuhusu ushauri alioutoa kwa wahitimu wa vyuo vikuu kwenda kupata ujuzi vyuo vya ufundi stadi (Veta) una tija. Amesema mjadala huo una mambo mazuri ya kuishauri Serikali namna ya kuboresha mfumo wa ufundi stadi nchini, akiagiza watendaji kuchukua yaliyo mazuri yanayoshauriwa kupitia mjadala huo. Majaliwa…

Read More

Cheza Kasino Ufukuzie Ubingwa wa Maisha yako

Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu Zaidi, kupitia sloti ya Mini Power Roulette inakuhakikishia ushindi wad au lako mara 20,50 hadi 100 cha kufanya ingia hapa kufukuzia ubingwa wako. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse…

Read More

MCHONGO WA MJINI NI BLACKJACK LIVE YA MERIDIANBET

Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa. Mchezo wa Blackjack Live Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack…

Read More

Yanga kumekucha CAS, Bodi ya Ligi yakomaa

SAKATA la kuahirishwa mechi ya Kariakoo Dabi, Yanga dhidi ya Simba limechukua sura mpya na tafsiri nyepesi ni kama mambo ya yamekucha rasmi kwani awali ilionekana kama masihara. Dabi hiyo katika Ligi Kuu Bara duru la pili, imeendelea kupigwa nje ya uwanja na sasa kuna mbio zinapigwa kwa hesabu za kisheria baada ya vinara wa…

Read More

Uhaba wa Fedha Hatari Kudhoofisha 'Wakati wa Maji' kwa Syria – Maswala ya Ulimwenguni

Katika ujumbe wa video kwa mkutano Kusimama na Syria: Kukidhi mahitaji ya mabadiliko ya mafanikioiliyoandaliwa na Jumuiya ya Ulaya huko Brussels, alisisitiza uzito wa hali hiyo. “Huu ni wakati wa maji” Alisema Mkuu wa UN, akisisitiza kwamba hatma ya Syria inategemea kuhakikisha upatikanaji wa chakula, makazi, huduma za afya na maisha endelevu. Zaidi ya theluthi…

Read More