Fidia kwa waliopisha mradi wa nyumba Chumbuni, mbioni

Unguja. Shirika la Nyumba Zanzibar (ZHC), limeanza mchakato wa ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotoa vipando (mazao) yao kwa ajili ya kupisha mradi wa nyumba za makazi Chumbuni Unguja. Akizungumza katika kikao cha uhakiki na maelekezo kwa wahusika Machi 18, 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Sultan Said Suleiman amewahakikishia wananchi hao kuwa hakuna atakayedhulumiwa…

Read More

TBS yabaini matumizi holela ya bidhaa za vilevi

Dodoma. Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limefanya tathimini ya vileo sokoni na kubaini changamoto kubwa ipo katika matumizi holela bidhaa. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dk Ashura Katunzi leo Machi 18,2025 alipokuwa akizungumzia mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita na mwelekeo wa shirika hilo. Amesema shirika hilo limechukua hatua…

Read More

RCC Kigoma yaridhia kugawanywa majimbo manne ya uchaguzi

Kigoma. Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kigoma (RCC) imeridhia kugawanya majimbo manne ya uchaguzi mkoani Kigoma ambayo ni Kigoma Mjini, Kasulu Vijijini, Uvinza na Kibondo. Maazimio hayo yalipitishwa na kikao maalumu kilichoketi Machi 17, 2025, ambapo yaliyowasilishwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa zikitaka. Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,…

Read More

Mchongo Ni Blackjack Live Ya Meridianbet – Global Publishers

Last updated Mar 18, 2025 Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo…

Read More

Mchango wa Tanzania kutafuta amani mashariki mwa DRC

Dar es Salaam. Tanzania itaendelea kuunga mkono jitihada za kikanda na kimataifa  zinazoendelea katika kutafuta amani ya kudumu katika eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Hayo yamesemwa jana Jumatatu, Machi 17, 2025 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thatib Kombo wakati akizungumza kuhusu mkutano…

Read More

OCD aliyefariki ajalini alivyoagwa Dar

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika jijini Dar es Salaam, SP Awadh Chico umeagwa leo Machi 18, 2025 na askari wenzake pamoja na ndugu jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limeongozwa na Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi (DCP), Lucas Mkondya ambaye ametoa salamu za rambirambi kwa familia…

Read More

FAO inaonya juu ya kuenea kwa ndege ya 'Avian isiyo ya kawaida', kwa wito wa hatua za ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Maelezo mafupi Nchi Wanachama huko Roma, Fao Viongozi walitaka hatua za haraka za kuimarisha biosecurity, uchunguzi na njia za kukabiliana na haraka za kukomesha milipuko. Mkurugenzi Mkuu wa FAO Godfrey Magwenzi alisisitiza kwamba shida hiyo inatishia kuwa na “athari kubwa kwa usalama wa chakula na usambazaji wa chakula katika nchi, pamoja na upotezaji wa lishe…

Read More

Athari wageni kufanya biashara za wazawa Kariakoo

Dar es Salaam. Uchunguzi umebaini kuwapo kwa wafanyabiashara wengi wa kigeni wanaofanya biashara zinazofanywa na wazawa huku wakiuza bidhaa kwa bei ya chini jambo ambalo linaondoa ushindani sokoni. Hayo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na kamati ya kufuatilia na kuhakikisha raia wa kigeni hawajihusishi na biashara zinazopaswa kufanywa na wazawa maeneo ya Kariakoo, iliyokuwa…

Read More