
Fidia kwa waliopisha mradi wa nyumba Chumbuni, mbioni
Unguja. Shirika la Nyumba Zanzibar (ZHC), limeanza mchakato wa ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotoa vipando (mazao) yao kwa ajili ya kupisha mradi wa nyumba za makazi Chumbuni Unguja. Akizungumza katika kikao cha uhakiki na maelekezo kwa wahusika Machi 18, 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Sultan Said Suleiman amewahakikishia wananchi hao kuwa hakuna atakayedhulumiwa…