
Chadema walivyotinga kwa Msajili kujadili ‘No reform, No election’
Dar es Salaam. Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na Katibu Mkuu, John Mnyika wakiwasili katika ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo Jumanne Machi 18, 2025 kuitikia wito wake. Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na Katibu Mkuu, John Mnyika wakiwasili katika ofisi ya Msajili wa Vyama…