Umuhimu wa ujuzi wa kidijitali ulimwengu wa sasa

Katika dunia ya sasa inayosukumwa na maendeleo ya teknolojia, ujuzi wa kidijitali umekuwa moja ya mahitaji muhimu  katika maisha ya kila siku. Sekta mbalimbali zinapitia mageuzi makubwa ya kidijitali, na wale wasioweza kuendana na mabadiliko haya wanajikuta wakiachwa nyuma. Si kazini, tasisi za utoaji elimu, nyumbani; mwote humo ujuzi wa kidijitali unatajwa kuwa mhimili muhimu…

Read More

Walimu watambue hawako juu ya sheria

Hivi karibuni, kumeibuka wimbi la utoaji holela wa adhabu kwa wanafunzi shuleni.   Baadhi ya matukio yamesababisha madhara makubwa ikiwamo vifo na majeraha mabaya kinyume kabisa na sheria za nchi. Matukio haya yanasikika kuanzia kusini mwa nchi hadi kaskazini, licha ya uwepo wa kanuni ya utoaji viboko GN namba 294 ya Julai 31, 2002 iliyozaa Waraka…

Read More

Haja ya somo la maadili kufundishwa vyuoni

Katika mtalaa mpya wa masomo katika shule za msingi tumeingiza somo la Historia ya Tanzania na Maadili. Baada ya kuona hatua hii, ambayo naona ni mwanzo mzuri, niliandika makala katika gazeti hili nikashauri kwamba somo la maadili lisimame lenyewe baadala ya kuchanganywa na historia ya Tanzania. Tukumbuke kwamba somo la maadili ni somo mama, ni…

Read More

‘Magari ya takataka ni kama taka Dar’-2

Dar es Salaam. Harufu mbaya, ubovu na kumwaga taka njiani ni miongoni mwa kero zilizoibuliwa na wananchi jijini Dar es Salaam kuhusu magari yanayotumika kubeba taka. Licha ya magari hayo kufanya shughuli hiyo muhimu, yapo malalamiko kuhusu ubora wake, huku wengi wakiyanyooshea vidole kuwa ni miongoni mwa vyanzo vya kuongeza taka nayo yakiwa ‘takataka’ “Haya…

Read More

Vijana wahimizwa kufuata misingi ya dini, maadili

Dar es Salaam. Ili kuwa na jamii iliyobora vijana nchini wamehimizwa kuishi kwa kufuata miongozo na misingi ya dini. Wito huo umetolewa usiku wa Machi 17, 2025 na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Waithna’ashariyyah Tanzania (TIC), Hemed Jalala wakati wa hafla ya uzinduzi wa tafsiri ya Qur’an ya Marhum iliyofanywa na marehemu Sheikh Hassan Mwalupa…

Read More

Baraza la Usalama linasasisha UN misheni kama nani anaonya juu ya janga la afya – maswala ya ulimwengu

Kupitisha bila kukusudia Azimio 2777 (2025), Baraza la watu 15 lilisisitiza “umuhimu muhimu” wa uwepo unaoendelea wa Unama na mashirika mengine ya UN kote Afghanistan. Baraza pia lilionyesha kuthamini kujitolea kwa muda mrefu kwa UN kwa nchi na watu wake, ikirudia msaada wake kamili kwa Unama na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu ambaye anaongoza misheni….

Read More