Rea, Tanesco wapewa agizo hili bei za kuunganisha umeme

Njombe. Wakati uunganishwaji wa umeme katika maeneo ya vijiji ukiwa ni Sh27,000 na Sh320,960 mijini, Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wameagizwa kubandika gharama halisi za kuunganisha umeme katika ofisi za serikali za vijiji. Gharama hizo ziende sambamba na hatua ambazo mwananchi anapaswa kuzifuata akitaka kuunganishishiwa umeme ili wananchi wazifahamu…

Read More

Polisi Dar yaahidi kumnasa anayedaiwa kumuua mkewe

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamsaka kijana anayetuhumiwa kufanya mauaji ya Paulina Mathias (40), Mkazi wa Kibonde Maji B, Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam. Tukio hilo linadaiwa kutokea Machi 10, 2025 eneo la Kibonde Maji alikokuwa amepanga mwanamke huyo. Inadaiwa mwanamke huyo aliuawa kwa kuchomwa na kitu chenye…

Read More

Kamati ya Bunge yaingilia kati matengenezo MV Magogoni

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeielekeza Serikali kutoa fedha zilizoidhinishwa na bunge katika bajeti ya mwaka uliopita, ili kukamilisha malipo ya matengenezo ya kivuko cha MV Magogoni kilichopo nchini Kenya. Kivuko hicho, kilipelekwa kwenye matengenezo makubwa Mombasa nchini Kenya, Februari 2023 na iliahidiwa kingekamilika Agosti mwaka huo, lakini ni mwaka…

Read More

Chikola, Makambo wanyatia rekodi Tabora United

NYOTA wa Tabora United, Offen Chikola amebakiza bao moja ili kuandika rekodi ya mfungaji bora tangu ilipopanda Ligi Kuu Bara msimu wa 2022-2023 kutokana na kiwango bora anachoonyesha. Chikola aliyejiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Geita Gold iliyoshuka daraja amefunga mabao saba katika Ligi Kuu Bara, ikiwa ni idadi sawa na aliyekuwa mfungaji bora…

Read More

‘No Reform, No Election’ yawapeleka Chadema kwa Msajili

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka wazi kuhusu kupokea wito wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi. Kwa mujibu wa taarifa ya Chadema, kikao na Jaji Mutungi kitafanyika kesho Jumanne, Machi 18, 2025 huku ajenda kuu ikiwa ni ‘No Reform, No Election.’ Alipotafutwa kuzungumzia hilo, Jaji Mutungi amethibitisha bila…

Read More