
Suka Jamvi Lako na Meridianbet Leo
KAMA kawaida mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 zinaendelea leo huku wewe ukiwa na nafasi ya kuchukua mshiko wa maana ndani ya wakali wa ubashiri Meridianbet. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Tukianza na Kundi C, Benin atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya South Africa ambapo timu hizi mbili zinafatana kwenye msimamo wa kundi…