VIDEO: Soka lambeba beki Yanga, apandishwa cheo KMKM

Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kimempandisha cheo nyota wa timu ya Yanga SC, Ibrahim Hamad “Ibra Bacca” kutoka Koplo na kuwa Sajenti kutokana na kuonesha kiwango bora kwenye mchezo wa soka. “Sina budi kushukuru kikosi changu kwa kuweza kunisapoti kwa kila hatua. Nitaendelea kuipambania nchi yangu,” amesema Sajenti Ibrahim Bacca ambaye wazazi wake…

Read More

Kenya yajitosa sakata la raia wake kunyongwa Vietnam leo

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki saa chache ili adhabu ya kunyongwa hadi kufa inayomkabili Mkenya, Margaret Nduta Macharia (37) aliyekamatwa mwaka 2023 nchini Vietnam na dawa za kulevya kilogramu mbili za Cocaine, Serikali ya Kenya imesema inafanya juu chini asinyongwe. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation, Margaret aliyehukumiwa Machi 6, 2025, alisema alipewa mzigo…

Read More

Changamoto sekta ya maji zatajwa

Dar es Salaam. Mabadiliko ya tabianchi, upotevu, wizi kwa baadhi ya watu na gharama za utekelezaji wa miradi ya maji zimetajwa kuwa changamoto zinazoikabili sekta ya maji huku Serikali ikisisitiza umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Changamoto hizo zinaelezwa wakati Tanzania ikitajwa kuwa na maji ya kutosha yaliyopo juu na chini ya ardhi. Katibu…

Read More

Waajiri wakumbushwa wajibu michango ya NSSF

Dodoma. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii  (NSSF) umewataka waajiri wenye wafanyakazi waliojiunga na mfuko huo kupeleka kwa wakati michango ya watumishi kabla hawajachukuliwa hatua za kisheria ikiwamo kufikishwa mahakamani. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Machi 17, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya…

Read More

Hizi hapa changamoto zinazokabili sekta ya maji, mwarobaini

Dar es Salaam. Mabadiliko ya tabianchi, upotevu, wizi kwa baadhi ya watu na gharama za utekelezaji wa miradi ya maji zimetajwa kuwa changamoto zinazoikabili sekta ya maji huku Wizara ikisisitiza umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Aidha, upotevu wa maji wakati wa usambazaji unawezekana ukawa wa kibishara au binafsi, bomba kupasuka, changamoto hizo zinaanikwa…

Read More

Namna ya kuishi na mabosi wanaofoka

Dar es Salaam. Kama una ‘bosi’ au kiongozi katika eneo la kazi ambaye kuzungumza kwake ni kufoka, basi huenda unajua jinsi hali hii inavyoweza kukera na kuleta mashaka kwenye ufanisi wako wa kazi. Hali hii ni ngumu na mara nyingi hutufanya tujiulize,”Kwa nini bosi wangu anafanya hivi?” Ingawa inapotokea, inaweza kuwa vigumu kujibu moja kwa…

Read More

VODACHAT: Zijue Fursa za Uwekezaji Kidjitali

Vodacom Tanzania PLC kupitia jukwaa lake la VODACHAT imeendesha mjadala wa moja kwa moja kuhusu Fursa za Uwekezaji Katika Dunia ya Kidijitali, ukihusisha wataalam wa sekta ya uwekezaji na teknolojia. Zaidi ya watu 5,200 walijiunga kupitia X Space (zamani Twitter) na Facebook, wakishiriki mijadala yenye tija kuhusu namna na njia bora za kuwekeza kidijitali. Mtaalam…

Read More