Adebayor wa Singida BS atoswa Niger

Winga wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor hatokuwa miongoni mwa nyota 25 wa Niger wanaoingia kambini wiki hii kujiandaa na mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Morocco. Mchezo huo umepangwa kufanyika Machi 21, 2025 katika Uwanja wa Honor jijini Oujda, Morocco kuanzia saa 6:30 usiku. Kuachwa huko kwa Adebayor kunamfanya atimize miezi…

Read More

Hemed Morocco katika anga za Song, Cisse

Baada ya kuiongoza Taifa Stars kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2024, kibarua kilicho mbele ya kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Morocco ni mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco, Machi 26 mwaka huu. Morocco anaendelea kusimamia benchi la ufundi la Taifa Stars kufuatia uamuzi wa…

Read More

OCD afariki ajalini, askari mwingine avunjika mkono

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamtafuta dereva wa daladala aliyesababisha ajali ya barabarani ambayo imekatisha maisha ya Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika (OCD), Awadh Chico na kumjeruhi askari, Zubeda Sadala. Ajali hiyo imetokea saa 1:20 asubuhi ya leo Jumatatu, Machi 17, 2025 katika barabara ya Nyerere maeneo ya…

Read More

DC ataka uwanja wa ndege Sumbawanga ujengwe usiku na mchana

Rukwa. Mkandarasi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga ameongezewa muda wa miezi mitatu kukamilisha ujenzi kutokana na changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika utekelezaji wa mradi huo.Awali, ujenzi wa uwanja huu ulitarajiwa kukamilika na kukabidhiwa kwa Serikali ifikapo Machi 13, 2025. Hata hivyo, kutokana na kucheleweshwa kwa malipo, ufinyu wa rasilimali, na baadhi ya vikwazo…

Read More

Mkuu wa UN anathibitisha mshikamano na Bangladesh huku kukiwa na mabadiliko ya kisiasa – maswala ya ulimwengu

Akiongea na wanahabari Jumamosi, Katibu Mkuu alisifu maendeleo ya Bangladesh na alionyesha jukumu la jamii ya kimataifa katika kuunga mkono mustakabali wa nchi hiyo. “Nimefurahiya sana kuwa Bangladesh wakati huu muhimu katika safari yako ya kitaifa“Bwana Guterres Alisemaakikubali uongozi wa mshauri mkuu Muhammad Yunus na matarajio ya watu wa Bangladeshi kwa demokrasia kubwa, haki na…

Read More