Kumbukumbu sita kubwa za Magufuli michezoni

Hayati Magufuli alifariki Machi 17, 2021 katika Hospitali ya Mzena, Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo, kifo kilichohitimisha miaka mitano ya utawala wake. Yapo ambayo wanamichezo wanayakumbuka kwa hayati Magufuli ambaye aliingia madarakani kwa mara ya kwanza Novemba 05, 2015 na leo hii inapotimia miaka minne mwili wake ukiwa ardhini, yanabakia katika historia. Ahadi…

Read More

Mambo matano ya kuamua Dabi ya Kariakoo

KESHO saa 10:00 za jioni kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam itashuhudiwa Dabi ya Wanawake kati ya Simba Queens ambao ni wenyeji wa mchezo huo ikiikaribisha Yanga Princess. Huo ni mchezo wa 12 tangu timu hizo zilipokutana kwa mara ya kwanza mwaka 2019, Simba Queens ikionekana mbabe kwa Yanga, kwani katika mechi hizo…

Read More

Simama mrefu kama upepo mkali – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Picha za Olrat / Getty Maoni na Daniela Iller, Yvonne Bartmann (Brussels/ Geneva) Jumatatu, Machi 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Brussels/ Geneva, Mar 17 (IPS) – Upepo pia unabadilika katika sera ya biashara. Wanapozidi kuwa ngumu na isiyotabirika zaidi, serikali ya biashara ya kimataifa iliyokosolewa sana ya Shirika la Biashara Ulimwenguni (WTO)…

Read More

Hatma vita ya Ukraine kujulikana kesho

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema atazungumza na Rais wa Russia, Vladimir Putin kesho Jumanne Machi 18, 2025, kuhusu hatima vita ya Russia na Ukraine. Shirika la Habari la Associated Press limeripoti leo Jumatatu Machi 17, 2025, kuwa kiongozi huyo wa Marekani alifichua jana Jumapili kuhusu mazungumzo hayo yajayo alipokuwa akisafiri kutoka Florida kwenda…

Read More

Gachagua anavyozidi kumkaba koo Rais Ruto

Nairobi. Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ameendelea kuikosoa Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kinachoongozwa na Rais William Ruto, akiwataka wakazi wa Mlima Kenya kujiandaa kuunda chama kipya ifikapo Mei mwaka huu.  Akizungumza kwa njia ya simu Jumamosi Machi 15, 2025 wakati wa mazishi ya vijana watatu waliopoteza maisha kwenye ajali ya barabarani…

Read More