Mke, wanawe watoweka kipigo chatajwa chanzo

Dar es Salaam. Mama na wanawe wawili wamekimbia katika nyumba waliyokuwa wakiishi na mumewe, Yangeyange Kata ya Msongola wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam. Ni mama anayefahamika kwa jina la Faraja Ng’andu (32) na mke wa John Mtulya, ambaye ugomvi, kipigo na kufungiwa ndani na mumewe ilikuwa sehemu ya maisha kabla ya kutoweka kwake. Juhudi…

Read More

Mbeya City yaweka rekodi Shirikisho

MBEYA City imekuwa ni timu ya kwanza ya Ligi ya Championship kuweka rekodi ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) msimu huu, baada ya kuifunga Mtibwa Sugar mabao 2-1, Machi 13 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Msimu huu ni timu sita pekee zilizofuzu 16 bora ikiwa ni rekodi, kwani msimu uliopita…

Read More

WADAU WAIANGUKIA SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA MASUALA YA WATU WENYE ULEMAVU AFRIKA

Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na masuala ya watu wenye ulemavu,Wakili Gideon Mandes, alizungumza na waandishi wa habari mara baada ya semina ya Waandishi wa habari na wadau kutoka vyama vya watu wenye ulemavu yaliyoandaliwa na Shirika la Sightsavers yaliyolenga kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa itifaki hiyo. Na.Mwandishi Wetu KATIKA kukabiliana na mila,…

Read More

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA SOKO LA MADINI MIRERANI

Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imeridhishwa na mradi wa ujenzi wa soko la madini ya Tanzanite lililopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Timotheo Mnzava akizingumza baada ya kutembelea na kukagua jengo hilo amesema hii ni mara ya pili wao…

Read More

VETA TANGA WAADHIMISHA MIAKA 30 YA KUANZISHA KWAKE KWA KUFANYA UKARABATI SHULE YA MSINGI CHANGA

Na Oscar Assenga,TANGA CHUO cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Jijini Tanga katika kuadhimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake wamefanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo kufanya ukarabati wa majengo ,Miundombinu ya Umeme ,Tehama pamoja na kwashonea sare wanafunzi wa Shule ya Msingi Changa ya Jijini Tanga.Akizungumza kuhusu maadhimisho hayo Mkuu wa VETA kituo cha Tanga,Gideon…

Read More

Muya atuliza presha Geita Gold

LICHA ya Geita Gold kupoteza michezo mitatu mfululizo, ila kocha mkuu wa timu hiyo, Mohamed Muya amesema matokeo hayo hayajawatoa mchezoni, ingawa ni changamoto anayokabiliana nayo ya kukitengeneza kikosi hicho kuongeza ushindani zaidi. Kauli ya kocha huyo inakuja baada ya kuchapwa mabao 5-0 na Mtibwa Sugar, akachapwa tena bao 1-0 na maafande wa Polisi Tanzania,…

Read More

Stumai anakitaka kiatu cha dhahabu

UNAWEZA kusema mshambuliaji wa JKT Queens, Stumai Abdallah amepania kwenye mbio za kuchukua kiatu cha ufungaji bora Ligi Kuu ya Wanawake (WPL). Mbali na chama lake kuwania nafasi ya ubingwa ambayo hadi sasa inatetewa na Simba Queens lakini nyota huyo anaongeza ushindani mwingine kwa upande wa kiatu. Ndio kinara wa ufungaji hadi sasa akiwa na…

Read More

Vijana wa BBT walioajiriwa na bodi ya korosho wapewa zigo

Lindi. Vijana walioajiriwa kwa mkataba na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) kupitia programu ya Jenga Kesho Iliyobora (BBT) wamepewa kibarua cha kuhakikisha uzalishaji wa zao hilo unaongezeka. Lengo la Serikali ni kuwa ifikapo 2025/2026 kuzalisha tani 700,000 za korosho zizalishwe nchini na tani 1,000,000 hadi mwaka 2030. Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki na…

Read More