Wasira awapa mbinu vijana uchaguzi mkuu 2025

Ileje. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema pazia la Uchaguzi Mkuu 2025, likifunguliwa vijana wanaojiona wanasifa wajitokeze kwenye kinyang’anyiro kugombea nafasi ya udiwani na ubunge bila kuwahofia watakaokuwa wanatetea. Kimesema hakuna mwenye haki miliki ya kushikilia nafasi hizo kwa miaka mitano, isipokuwa leseni zinapatikana kupitia kinyang’anyiro cha kushawishi wananchi na mwenye nguvu ya kushawishi wanapata ridhaa….

Read More

Kamati ya Bunge yaridhishwa na soko la madini Mirerani

Mirerani. Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imeridhishwa na mradi wa ujenzi wa soko la madini ya Tanzanite lililopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Timotheo Mnzava, ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Machi 16, 2025 baada ya kutembelea na kukagua jengo hilo amesema hii ni…

Read More

ERB yawatangazia fursa walimu wa sayansi

Dar es Salaam. Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya walimu wa masomo ya Sayansi shule za Sekondari, Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) imetangaza nafasi za kujitolea kwa walimu wa masomo ya Fizikia na Hesabu katika shule za sekondari mkoani Kagera. Shule hizo ni pamoja na Sekondari ya Kagera River, Kyerwa na Luteni Jenerali…

Read More

Mke adaiwa kuuawa na mumewe kisa Sh50,000

Dar es Salaam. Mkazi wa Kibonde Maji B, wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam Paulina Mathias (40) anadaiwa kuuawa na aliyekuwa mumewe kwa kuchomwa kisu tumboni baada ya kumnyima Sh50,000 kulipia kodi ya pango. Tukio hilo limetokea Machi 10, 2025 eneo la Kibonde Maji alikokuwa amepanga mwanamke huyo. Leo Jumapili, Machi 16, 2025 Mwananchi…

Read More

Mke adaiwa kuuawa kisa Sh50,000

Dar es Salaam. Mkazi wa Kibonde Maji B, wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam Paulina Mathias (40) anadaiwa kuuawa na aliyekuwa mumewe kwa kuchomwa kisu tumboni baada ya kumnyima Sh50,000 kulipia kodi ya pango. Tukio hilo limetokea Machi 10, 2025 eneo la Kibonde Maji alikokuwa amepanga mwanamke huyo. Leo Jumapili, Machi 16, 2025 Mwananchi…

Read More