Mwanafunzi wa darasa la kwanza auawa kwa kuchinjwa

Rombo. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanamume (26), mkazi wa kijiji cha Kirwa, kata ya Katangara Mrere, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kumuua na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mahaheni. Mwanafunzi huyo Rosemary Mathius (6), mkazi wa Kijiji cha Mrere anadaiwa kuuliwa…

Read More

Uongozi Dar es Salaam watakiwa kudhibiti malori kwenye makazi

Pwani. Huenda foleni ya malori ndani ya Jiji la Dar es Salaam ikawa inaelekea ukingoni baada ya bandari ya Kwala kuanza kuhudumia mizigo inayoshushwa bandari. Kutokana na hilo, Serikali imeutaka uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha unadhibiti malori yanayoegeshwa kiholela ili kupunguza adha inayoepukika. Hiyo ni baada ya kontena 700 kuwa tayari zimehudumiwa…

Read More

Hat trick zawapa heshima watatu Championship

WAKATI Kombe la Shirikisho likiwa hatua ya robo fainali, ni mastaa watatu tu wa timu za Ligi ya Championship walioweka heshima kwa kufunga hat trick katika michuano hiyo wakiwapiga bao hadi nyota wa Ligi Kuu Bara, iliyoingiza timu nyingi hatua ya 16 Bora. Nyota wa kwanza kufunga ‘Hat-Trick’ ni Kassim Shaibu ‘Mayele’ wa TMA FC,…

Read More

Kipa Dodoma Jiji azipotezea sita za Simba

KIPA wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka ameingia katika orodha ya makipa waliopigwa mabao mengi katika mchezo mmoja baada ya Ijumaa kufungwa sita wakati timu hiyo ikifumuliwa 6-0 na Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, lakini amezipotezea kiaina akisema hazitawatoa katika reli. Ngeleka alifungwa mabao hayo kwenye Uwanja wa KMC Complex, akiungana na kipa…

Read More

Baada ya ubingwa, Clara akitaka kiatu Saudia

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayewasha moto katika klabu ya Al Nassr, Clara Luvanga amesema mabao 15 aliyofunga yanampa hamasa ya kuwania kiatu cha dhahabu huku supastaa wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwapongeza baada ya kuchukua ubingwa. Al Nassr inayoshiriki Ligi ya Wanawake Saudia juzi imechukua ubingwa kwa kuitandika Al Ahli mabao 3-1 bao moja likifungwa…

Read More

Mechi nane za kimkakati Bigman

KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila amesema licha ya kukabiliwa na ratiba ngumu katika michezo minane iliyosalia kumaliza msimu huu, ila amejipanga kuhakikisha kikosi hicho kinamaliza nafasi nne za juu ili kupata nafasi ya kucheza ‘Play-Off’. Kauli ya Katwila inatokana na ratiba ngumu inayomkabili kwani katika michezo minane iliyobakia ni mitatu tu ya nyumbani, huku…

Read More

Neema Paul alivyovunja rekodi | Mwanaspoti

MIONGONI Mwa nyota wa kutazamwa kwenye kikosi cha Yanga Princess ni Neema Paul anayemudu kucheza winga zote mbili. Paul alijiunga na Yanga msimu uliopita 2023/24 akitokea Fountain Gate Princess 2022/23. Msimu wa kwanza akiwa na Yanga kwenye mechi 18, alifunga mabao manne na kumfanya amalize kinara wa ufungaji kwa Wananchi. Msimu huu kwenye mechi 12…

Read More