
Othman akerwa na Wasira, Mbeto kupotosha kuzuiwa kwao Angola
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman, ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu kilichowatokea nchini Angola. Othman ameenda mbali zaidi na kutaka mamlaka zinazowasimamia ziwachukulie hatua kwa kile alichoeleza kuwa upotoshaji walioufanya unaipaka matope Serikali….