Othman akerwa na Wasira, Mbeto kupotosha kuzuiwa kwao Angola

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman, ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu kilichowatokea nchini Angola. Othman ameenda mbali zaidi na kutaka mamlaka zinazowasimamia ziwachukulie hatua kwa kile alichoeleza kuwa upotoshaji walioufanya unaipaka matope Serikali….

Read More

Mlandizi kuaga WPL? | Mwanaspoti

HILI ni moja ya maswali ambayo pengine kwa wadau wa soka la wanawake wanalo jibu juu ya mwenendo wa mabingwa wa kihistoria, Mlandizi Queens. Mlandizi ndio ilikuwa timu ya kwanza kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake 2017/18 kisha baadae JKT Queens ikaipokonya na kutwaa mara mbili mfululizo. Timu hiyo iliyopanda daraja msimu huu kutoka…

Read More

SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR

Na Mwandishi Wetu, MBEYA, 16 Machi, 2025 KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) ulioanza mwaka 2021-2025 katika Mikoa mitano na Halmashauri za Wilaya saba nchini. Aidha kutokana…

Read More

Wakazi Dar walia na ‘vishandu’

Dar es Salaam. Ukiacha kurahisisha usafiri katika maeneo yenye msongamano na kuokoa muda, usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda katika Jiji la Dar es Salaam umekuwa nyenzo hatari kwa matukio ya uhalifu. Ni bodaboda hizo hizo zinazotumika katika ukwapuaji na unyang’anyi wa mali za raia katika jiji hilo, jambo linalozua hofu kwa wakazi wake. Unyang’anyi huo…

Read More

Julio atua Kiluvya United | Mwanaspoti

Kiluvya United imefikia makubaliano na aliyekuwa Kocha wa Ruvu Shooting, Julio Elieza kwa ajili ya kukiongoza kikosi hicho hadi mwisho wa msimu huu, akichukua nafasi ya Zulkifri Iddi ‘Mahdi’ aliyejiunga na timu ya Cosmopolitan. Akizungumza na Mwanaspoti, Julio alisema amefikia uamuzi huo baada ya kupata ofa nzuri ndani ya kikosi hicho, huku lengo kubwa analopambana…

Read More

Mfanyakazi wa ndani ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua dada wa mwajiri wake

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa aliyekuwa mfanyakazi wa ndani wa kiume (houseboy), Robert Steven, kwa kumuua kwa kumnyonga mdogo wa mwajiri wake, Theopista Laurent, kisha kuiba vitu vya ndani na kukimbia. Tukio hilo lilitokea Oktoba 15, 2021, katika Kijiji cha Rukabuye, wilayani Missenyi, mkoani Kagera, ambapo inadaiwa mrufani alikuwa…

Read More