TUZO YA KINARA WA MAJI AFRIKA NI MATOKEO YA USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI MZURI WA IBARA YA 100 YA ILANI YA CCM YA UCHAGUZI MKUU 2020-2025.

Na Kalamu huru ya Leah D. Mbeke Kutoka: Makao Makuu Dodoma Kila mmoja wetu amehabarika kupitia vyombo vya habari kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo ya Kinara wa Maji Afrika (The Pan-African Water, Sanitation and Hygiene Champion Award) kutoka Taasisi ya WaterAid UK iliyoko nchini Uingereza…

Read More

Chadema yadai kuzuiwa kufanya mkutano Mbeya, Polisi wakanusha

Mbeya. Mkutano wa Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche uliokuwa ufanyike Kata ya Mabadaga Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya umeshindwa kufanyika baada ya kudaiwa kuzuiwa na Jeshi la Polisi. Hata hivyo Jeshi hilo limefafanua kuwa mkutano na vikao vya chama hicho havikuwatolewa taarifa kama taratibu zinavyoelekeza. Heche pamoja na…

Read More

Chadema wadai kuzuiwa kufanya mkutano Mbeya, Polisi wakanusha

Mbeya. Mkutano wa Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche uliokuwa ufanyike Kata ya Mabadaga Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya umeshindwa kufanyika baada ya kudaiwa kuzuiwa na Jeshi la Polisi. Hata hivyo Jeshi hilo limefafanua kuwa mkutano na vikao vya chama hicho havikuwatolewa taarifa kama taratibu zinavyoelekeza. Heche pamoja na…

Read More

Heche adai kuzuiwa kufanya mkutano Mbeya, Polisi wakanusha

Mbeya. Mkutano wa Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche uliokuwa ufanyike Kata ya Mabadaga Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya umeshindwa kufanyika baada ya kudaiwa kuzuiwa na Jeshi la Polisi. Hata hivyo Jeshi hilo limefafanua kuwa mkutano na vikao vya chama hicho havikuwatolewa taarifa kama taratibu zinavyoelekeza. Heche pamoja na…

Read More

MAMIA WAJITOKEZA KWENYE IFTAR ILIYOANDALIWA NA DC SIMANJIRO

Na Mwandishi wetu, Mirerani MAMIA ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wameshiriki Iftari iliyoandaliwa na DC Simanjiro Fakii Raphael Lulandala na kufanyika Mji mdogo wa Mirerani. Iftari hiyo imehusisha watoto yatima, wenye kuishi kwenye mazingira magumu, wajane, viongozi wa madhehebu ya dini, wazee maarufu, wadau wa madini, wakuu wa taasisi na viongozi mbalimbali….

Read More

RCC NJOMBE YARIDHIA KULIGAWA JIMBO LA LUDEWA

Kamati ya ushauri ya mkoa wa Njombe ( RCC ) ikiongozwa na mkuu wa mkoa huo Anthony Mtaka kimepokea na kupitisha pendekezo la kuligawa Jimbo la Ludewa na kuruhusu mchakato huo kuendelea kwa hatua zinazofuata Awali akiwasilisha taarifa ya kuligawa Jimbo hilo mwanasheria wa halmashauri hiyo Mathani Chalamila amesema kwa asilimia kubwa wamekidhi vigezo vya…

Read More

Walimu Mbeya kupelekwa Dubai ‘kutalii’

Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imefanya jambo la kipekee kwa walimu waliosaidia kuboresha kiwango cha ufaulu wa masomo katika shule za msingi na sekondari kwa kuwapeleka Dubai. Walimu hawa watajifunza na pia kupata fursa ya kutalii, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuboresha elimu katika mkoa huo. Ahadi hiyo ilitolewa Julai 16 mwaka jana na…

Read More