Odinga amkingia kifua Rais Ruto

Kenya. Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amewajibu wakosoaji wa Serikali ya Rais William Ruto wanaotaka aondoke madarakani huku akisema wanataka atoke aende wapi. Kauli ya Odinga inakuja zikiwa zimepita  siku chache tangu asaini makubaliano ya kufanya kazi na Rais Ruto nchini Kenya. Makubaliano hayo kati ya Chama cha United Democratic Alliance (UDA)…

Read More

Wazir JR mambo magumu Iraq

MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a inayoshiriki Ligi Kuu nchini Iraq, Wazir Jr Shentembo ugumu wa ligi hiyo unampa changamoto ya kuipambania timu hiyo. Mina’a iko nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi hiyo maarufu ‘Iraq Stars League’ ikiwa na pointi 25 kwenye mechi 24 ilizocheza, ushindi mechi sita, sare saba na kupoteza 11. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Kesi tuhuma za ulawiti nje ya nchi yakwaa kisiki kortini

Dodoma. Mahakama Kuu, masjala Kuu ya Dodoma, imeyatupa maombi ya Watanzania wawili, waliokuwa wanataka kurejeshwa nchini kwa raia wa Oman, Tariq Ahmed Alismail anayeshukiwa kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba. Uamuzi huo umetolewa Machi 14, 2025 na Jaji Fredrick Manyanda akisema Mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo kwa kuwa limefunguliwa…

Read More

Makambo apewa mwaka Hessenliga | Mwanaspoti

NYOTA wa Kitanzania, Athuman Masumbuko ‘Makambo’ amesema amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya SC Viktoria inayoshiruiki Ligi ya Ujerumani maarufu Hessenliga. Awali nyota huyo wa zamani wa Mashujaa na Mtibwa Sugar ya vijana U-20, msimu uliopita alijiunga na 1.FCA Darmstadt ya nchini humo kwa mkataba wa miaka mitatu. Akizungumza na Mwanaspoti, Makambo alisema…

Read More

Marefa Tanzania watoswa Afcon 2025

Tanzania haitokuwa na refa katika Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji walio chini ya umri wa miaka 17 (Afcon U17) 2025 zitakazofanyika Morocco baadaye mwezi huu. Katika orodha ya mwisho ya marefa 45 walioteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuchezesha fainali hizo mwaka huu, hakuna jina la refa wa kati wala…

Read More

Tanesco yatangaza hitilafu ununuzi wa Luku, yatoa mbadala

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kuna changamoto katika ununuaji wa Luku kupitia mitandao ya simu huku likitoa njia mbadala ya kupata huduma hiyo. Taarifa ya Tanesco imetolewa leo Jumapili Machi 16, 2025 na Kurugenzi ya Mawasiliano na Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuitatua changamoto hiyo. “Shirika linawataarifu wateja wake kuwa, kuna…

Read More

Walioitwa kwenye usaili BoT hawa hapa

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa majina ya waliopita katika usaili wa maandishi, huku ikiwaita katika usaili wa mahojiano na vitendo kwa baadhi ya kada. Tangazo hilo lililochapishwa Machi 14, 2025 katika tovuti ya BoT lilieleza wasailiwa waliopita katika mchujo huo wa awali wazingatie yafuatayo; “Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na…

Read More