Mtoto aadabishwe au aadhibiwe? | Mwananchi

Dar es Salaam. Mtoto akikosea anatakiwa kuadhibiwa au kuadabishwa? Huu ni mjadala ulioshika kasi kwa sasa kukiwa na msukumo mkubwa wa kuondolewa adhabu ya viboko kwa kile kinachoelezwa haina matokeo chanya kwa anayeadhibiwa. Adhabu hiyo ambayo hutumika zaidi shuleni na wakati mwingine nyumbani inatajwa kuwa si tu huishia kumletea maumivu ya kimwili mtoto husika, bali…

Read More

Nafasi ya elimuhisia kwa wazazi na walimu

Katika miaka ya hivi karibuni, pameanza kuwepo msisitizo mkubwa kwenye elimu ya hisia. Nchi nyingi zilizoendelea, kwa mfano, zimetenga bajeti kubwa katika tafiti kwa mamia zinazoangazia ukuaji wa hisia na kusaili uhusiano wake na ujifunzaji. Miaka ya nyuma, tunafahamu, wataalamu wengi wa elimu waliweka uzito mkubwa kwenye kukuza uelewa wa mtoto na namna ya kumsaidia…

Read More

‘Ndoa sawa na mche, ipalilie istawi’

Ndoa ina pandashuka nyingi, kikiwemo kipindi cha wenza kukosa kuchangamkiana kama siku za mwanzo za uhusiano wao. Hii inafanyika kwa wanaochukulia ndoa kama kitu cha kawaida.Wapo wanaohisi kwamba baada ya kufunga pingu za maisha, wana haki ya kumiliki wenza wao. Hisia hizi ziko mbali sana na ukweli wa mambo kwa kuwa zinachozaa ni watu kuchoshwa…

Read More

Mbinu za kukuza uchumi endelevu wa familia

Uchumi wa familia ni nguzo muhimu inayochangia ustawi wa jamii na maendeleo ya mtu binafsi. Familia yenye usimamizi mzuri wa uchumi wake huwa na uwezo wa kukidhi mahitaji ya msingi, kuweka akiba, na kuwekeza kwa ajili ya maisha bora ya baadaye. Katika ulimwengu wa sasa, ambapo gharama za maisha zinaendelea kupanda, ni muhimu kwa familia…

Read More

Hii hapa siri ya kukusaidia kuwa na furaha ya kudumu maishani

Ni vema ukafahamu kwamba baadhi ya vitu unavyovitegemea vinaweza visikupe furaha unayoitamani. Yumkini mumeo au mkeo asikupe furaha, au fedha na mali ulizonazo zisikupe furaha ya kweli. Jaribu kubeba jukumu la kujihakikishia una furaha pasipo kutegemea mazingira ya vitu au watu wanaokuzunguka. Chukua jukumu la la kuzalisha, kuitunza na kuiendeleza ile furaha na amani inayoishi…

Read More

Waajiriwa kada za afya waitwa kazini

Dar es Salaam. Baada ya kukamilika mchakato wa kupangiwa vituo vya kazi, waombaji wote wa kazi za mkataba katika Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (TMCHIP), wametakiwa kuripoti kazini. Kwa mujibu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), waajiriwa hao 435 wanatakiwa kuripoti kazini ndani…

Read More

Wanaume wanaolia balaa kwa mapenzi

Wataalamu wa masuala ya mapenzi wamebaini kuwa wanaume wenye hisia kali kiasi cha kudondokwa na machozi kwa sababu ya wapenzi wao, huishia kuwa na uhusiano thabiti wa kimapenzi. Hii ni kinyume na dhana ya kipindi kirefu kuwa wanaume wenye misuli na kifua kilichotanuka ndio huwaniwa na wanawake kutokana na maumbile yao ya kupendeza. “Sasa mambo…

Read More

Shemeji, huwezi kumpiga mke wangu

Kisa hiki kinamhusu rafiki yetu. Siku moja, alisimulia kuwa kulikuwa na mabishano juu ya suala la kifamilia baina ya mkewe na kaka zake wawili ambao ni mashemeji zake. Katika ubishi huu, mke wa jamaa aliwapinga kaka zake juu ya jambo fulani kiasi cha kuwaudhi. Mmojawapo wa wale kinakaka ambaye ni mkubwa kwa kufuatana na mke…

Read More