Chamou atuliza presha Simba SC

BEKI wa Simba Chamou Karaboue amewashusha presha mashabiki wa klabu hiyo, hata kama Che Malone Fondoh hatakuwepo lakini amejipanga vizuri kuhakikisha anaendeleza ubora kwenye ukuta wa timu hiyo. Chamou ambaye alitua Simba msimu huu, amekuwa miongoni mwa mabeki ambao hawapati muda mwingi wa kucheza, baada ya kukuta mastaa wanaokiwasha zaidi yake katika maeneo hayo. Simba…

Read More

Ahoua bado rekodi mbili | Mwanaspoti

MABAO mawili aliyoyafunga kiungo nyota mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua, juzi katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Dodoma Jiji, unamfanya kunyatia rekodi mbili kwenye michezo minane iliyobaki ya Ligi Kuu Bara. Nyota huyo aliyejiunga na Simba Julai 3, 2024 akitokea Stella Club d’Adjame ya kwao Ivory Coast, amebakisha bao moja tu na asisti nne,…

Read More

DKT. NCHEMBA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Uganda, Mhe Meja Jenerali Paul Simuli, alipotembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzania zilizopo Kampala nchini Uganda, baada ya kuhitimisha Mkutano wa 50 wa Benki ya Maendeleo Afrika Mashariki (EADB), ambapo aliwapongeza Mhe. Balozi wa Tanzania nchini humo na watumishi wa…

Read More

UN inahimiza mabadiliko ya pamoja kama Syria inaashiria miaka 14 ya migogoro – maswala ya ulimwengu

Mjumbe maalum wa UN kwa Syria, Geir Pedersen alitaka mwisho wa uhasama na aliwasihi pande zote kulinda raia kulingana na sheria za kimataifa. “Kilichoanza kama ombi la mageuzi kilifikiwa na ukatili wa kushangaza, na kusababisha moja ya mizozo ya wakati wetu“Alisema katika a taarifa Siku ya Ijumaa, kukumbuka maandamano ya amani ya demokrasia ambayo ilianza…

Read More

Rais Samia anavyopigania kuirejesha Tanga ya viwanda

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Mkoa wa Tanga una historia kubwa katika nchi yetu ya Tanzania. Moja ya historia kubwa ni kuwa mkoa uliokuwa na viwanda vingi katika miaka ya 1970 na 1980. Viwanda hivi vilikuwa nyenzo muhimu ya kuchagiza maendeleo ya Tanga kwa kuzingatia mnyororo mkubwa wa thamani uliopo kwenye viwanda.  Ni katika viwanda hivyo…

Read More

Wasira atwishwa kero tatu mjini Tunduma

Tunduma. Wananchi wa Mji wa Tunduma wamewasilisha kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), kero tatu zinazowakabili zikiwamo za uhaba wa maji na bodaboda kunyanyaswa na Polisi. Changamoto nyingine ni msongamano wa malori kwenye barabara kutoka Mbeya hadi Tunduma. Wananchi wamesema ili CCM kijihakikishie ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 lazima zitatuliwe. Kero hizo…

Read More

Mauaji ya wanawake yapungua kwa asilimia 81 Geita

Geita. Mauaji ya wanawake yanayotokana na matukio ya ukatili wa kijinsia mkoani Geita yamepungua kutoka vifo 37 mwaka 2023 hadi saba mwaka 2024 (sawa na asilimia 81). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amesema hayo leo Machi 15, 2024 wakati wa sherehe za mtandao wa Polisi wanawake mkoani humo. Amesema mbali na kupungua…

Read More