Wakulima wataka kushirikishwa maandalizi ya bajeti

Dodoma. Serikali imelalamikiwa kutowashirikisha wakulima kwenye maandalizi ya bajeti zake kuanzia ngazi ya chini na badala yake wanapeleka maendeleo kwa maagizo. Wawakilishi wa wakulima kutoka Wilaya za Chamwino (Dodoma) na Halmashauri ya Singida wametoa kauli hiyo leo Jumamosi Machi 15, 2025 wakati wa mafunzo ya ushirikishwaji wa maandalizi ya bajeti na hasa zinazogusa sekta ya…

Read More

BALOZI NCHIMBI ACHANGISHA SH. 950 MILIONI KWA MATIBABU YA WAGONJWA WA MGUU KIFUNDO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amefanikisha uchangishaji wa shilingi milioni 950 kwa ajili ya matibabu ya watoto wapatao 400 wanaougua ugonjwa wa mguu kifundo. Kiasi hicho cha fedha kimepatikana kupitia ahadi za wadau mbalimbali walioshiriki hafla ya futari maalum kwa harambee hiyo, iliyofanyika Machi 14, 2025, katika Ukumbi…

Read More

Makundi haya hatarini kupata maambukizi ya Mpox

Dodoma. Wakati ugonjwa wa Mpox ukiendelea kustua nchini na tahadhali mbalimbali zikiendelea kutolewa ni ukayajua makundi yaliyoko hatarini kupata ugonjwa huo. Machi 10 mwaka huu Waziri wa Afya Jenista Mhagama alitangaza kuhusu uwepo wa ugonjwa wa Mpox nchini ambapo alisema kuwa jumla ya wagonjwa wawili wameripotiwa kuwa na ugonjwa huo jijini Dar es salaam. Baada…

Read More

Kocha Hamdi aanza upya na Ikanga

BAADA ya kuonyesha uwezo wake ndani ya dakika 66 alizopewa winga mpya wa Yanga, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’, kocha wake Miloud Hamdi ametaja mambo makuu mawili ambayo Mkongo huyo anatakiwa kuyazingatia kwa sasa. Winga huyo aliyetua Yanga dirisha dogo lililofungwa Januari 15, 2025, amecheza mechi mbili tu, moja ya ligi dhidi ya Pamba Jiji na…

Read More

Mkongomani Tabora kuiwahi Yanga | Mwanaspoti

KOCHA wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi anatarajiwa kuuwahi mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaochezwa Aprili Mosi mwaka huu kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, baada ya kwenda kwao DR Congo kusoma. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tabora United, Charles Obiny alisema licha ya kocha huyo kuondoka ila kuna uwezekano pia…

Read More

Serengeti Girls yaondoshwa kufuzu Kombe la Dunia

TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls, leo jioni imeondoshwa kwenye mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia baada ya kukubali kipigo cha jumla ya mabao 4-0 dhidi ya Zambia. Mchezo huo ulipigwa Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini Zambia ukiwa ni wa marudiano baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-0 nyumbani kisha…

Read More

Sababu mauzo ya mkaa kuongezeka

Dar es Salaam. Wakati jitihada zikifanyika kuhakikisha jamii inahamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia, ripoti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeonyesha kuwapo ongezeko la mauzo ya mkaa nchini. Ripoti ya BoT inayoangazia uchumi wa kikanda ya robo mwaka ulioishia Septemba, 2024 inaonyesha mkaa kuwa miongoni mwa mazao ya misitu ambayo mauzo yake…

Read More