FA yampa mzuka Mcameroon | Mwanaspoti

BAADA ya Kagera Sugar kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wake raia wa Cameroon, Moubarack Amza kutoka Namungo, nyota huyo amesema anajisikia furaha katika timu hiyo kutokana na kuanza kufunga mabao. Nyota huyo amerejea baada ya awali kujiunga na Kagera Sugar Januari, mwaka jana, kwa mkopo wa miezi sita akitokea Ihefu ambayo sasa ni Singida Black Stars, kisha…

Read More

Kiama kwa waingiza simu feki Tanzania

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kiama kwa wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa feki za mawasiliano kufuatia kuanzishwa kwa maabara ya uidhinishaji vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki. Maabara hiyo iliyo chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapima na kuhakiki sampuli za vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki kuthibitisha usalama wa matumizi kabla havijaingizwa nchini. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA,…

Read More

Mshikamano Mkuu wa Ramadhani wa UN hufufua Wakimbizi wa Rohingya Tumaini – Maswala ya Ulimwenguni

Maelfu ya wakimbizi wa Rohingya walielekea kwa mshikamano Iftar, ambapo Katibu Mkuu wa UN, António Guterres na mshauri mkuu wa Bangladesh, Profesa Yunus waliahidi kuendelea kupata suluhisho la shida zao. Mikopo: Gazi Sarwar Hossain/PID na Rafiqul Islam (Coxâ bazar, Bangladesh) Jumamosi, Machi 15, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Cox's Bazar, Bangladesh, Mar 15 (IPS)…

Read More

Kocha Azam aanza kupiga hesabu za msimu ujao

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema katika mipango yake msimu ujao, kuhusu usajili anataka wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuipambania timu hiyo. Zikiwa zimesalia mechi saba tu kwa timu hiyo kuhitimisha msimu huu, kocha huyo tayari ameshapiga hesabu za msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Taoussi alisema Azam tayari ina wachezaji wazuri vijana lakini wanahitajika…

Read More

TET yazindua maabara mbili za kompyuta Tanga

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), imezindua maabara ya Kompyuta ya vifaa vya kisasa vyenye gharama ya Sh milioni 235.5 katika shule mbili wilayani Lushoto, mkoani Tanga. Shule hizo ni Sekondari ya Magamba na Shule ya Msingi Shukilai ambapo maabara hizo zinalenga kuimarisha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika ufundishaji na ujifunzaji. Akizungumza…

Read More

Trump, Iraq watangaza kumuua kiongozi wa Islamic State

Baghdad. Idara ya Ujasusi ya Iraq kwa kushirikiana na majeshi ya Muungano yanayoongozwa na Marekani imeendesha operesheni iliyofanikisha kuuawa kwa kiongozi wa kundi la Islamic State (ISIS) nchini Iraq na Syria. Taarifa ya kuuawa kwa Abdallah Maki Mosleh al-Rifai, maarufu kama “Abu Khadija,” imetangazwa jana Ijumaa Machi 14,2025, na Waziri Mkuu wa Iraq, Mohammed Shia…

Read More