KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA MWEMBE LOGISTICS YAREJESHA TABASAMU KWA WANAFUNZI WALIOPATA JANGA LA MOTO MAKANYA SEKONDARI.

NA WILLIUM PAUL, SAME. KAMPUNI ya usafirishaji ya Mwembe logistics imetoa msaada wa magodoro, vyandarua, matraka pamoja na taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Makanya wilayani Same mkoani Kilimanjaro waliopata hadha ya bweni kuteketea kwa moto Februari 14 mwaka huu majira ya saa kumi na mbili asubuhi Akizungumza wakati wa kukabidhi…

Read More

MSD MBEYA, YAJADILIANA NA WADAU WAKE KUIMARISHA HUDUMA

Wateja wa MSD kutoka mikoa ya Mbeya, Songwe, Rukwa, na halmashauri ya Makete Wahimizwa kutumia vyanzo vingine vya mapato kununua bidhaa za afya kutoka Bohari ya Dawa (MSD). Aidha wametakiwa kulipa au kupunguza madeni yao wanayodaiwa na MSD ili kuipa nguvu ya kiuchumi katika mzunguko wa ugavi wa bidhaa za afya, badala ya kurundika madeni…

Read More

KAMATI YA BUNGE -UJENZI WA BARABARA YA TANGA-PANGANI BAGAMOYO UENDELEE KUPITIA ENEO LA HIFADHI YA TAIFA YA SAADANI

Na Oscar Assenga, PANGANI KAMATI ya Kudumu ya Bunge Miundombinu imeshauri Serikali ujenzi wa barabara ya kutoka Tanga-Pangani –Bagamoyo upitie katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Saadani ili kufungua mkoa huo kiuchumi na kuongeza idadi kubwa ya watalii. Ushauri huo wa Kamati ulitolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Moshi Kakoso mara baada ya…

Read More

Tajirika Na Meridianbet Sasa – Global Publishers

Jumamosi ya leo ni nzuri sana ya wewe kuondoka na shangwe ndani ya Meridinabet kwani mechi mbalimbali Duniani leo hii zinapigwa. Ili kupiga pesa suka jamvi lako na ubashiri na Meridianbet. SERIE A kule Italia AC Monza atamenyana dhidi ya Parma Calcio huku takwimu zikionesha kuwa mara ya mwisho kukutana, mgeni aliondoka na ushindi. Mwenyeji…

Read More

Wanawake wawili wanaswa wakiwa ‘utupu’ madhabahuni, Kilimanjaro

Hai. Wanawake wawili wanaodhaniwa kuwa ni washirikina wamekutwa wakiwa watupu (bila nguo) alfajiri ya leo Machi 15, 2025, katika madhabahu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Jimbo la Hai, Usharika wa Nkwarungo, Machame Kaskazini, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro. Tukio hilo limezua taharuki kubwa wilayani hapa, ambapo wanawake hao walikamatwa na…

Read More