Ahukumiwa kifo kwa mauaji ya hawara aliyedai alimvuta nyeti

Mtwara. “Kuna nyakati katika maisha hatima huchukua mkondo usiotarajiwa, ikiacha maumivu na maswali yasiyo na majibu. Rashid Mkumba (shahidi wa kwanza wa Jamhuri) hakuwaza kuwa Aprili 14, 2022 ingekuwa siku ya mwisho kumuona mkewe mpendwa, Mwajuma Lipala (marehemu)” Ndivyo anavyoianza hukumu Jaji Martha Mpaze wa Mahakama Kuu katika kesi ya mauaji namba nane ya mwaka…

Read More

Arajiga apewa vita ya Inonga, Mayele CAF

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limemteua mwamuzi Ahmed Arajiga kuamua mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Pyramids ya Misri dhidi ya FAR Rabat ya Morocco ambao utageuka kama Dabi ya Kariakoo ndogo. Pyramids itakutana na FAR Rabat kwenye mchezo wa kwanza utakaopigwa Uwanja wa June 30 mjini Cairo, Misri, mechi ya hatua ya…

Read More

Tanzania kushirikiana na Barbados kukuza sekta ya utalii

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Barbados, Mia Mottley ambapo wamekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizo mbili. Mazungumzo hayo yamefanyika katika makazi rasmi ya Waziri Mkuu, Mia Mottley, jijini Bridgestone, nchini Barbados. Waziri Mkuu Mia amesema, kuna umuhimu…

Read More

Fadlu: Sasa tunawataka Al-Masry | Mwanaspoti

BAADA ya ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika Ligi Kuu Bara, Kocha wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kuridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi chake akisisitiza kuwa kazi bado haijaisha, kwani malengo yao makubwa msimu huu wa 2024/25 ni kushinda mataji, lakini akituma salamu kwa wapinzani wao wajao, Al Masry. Simba inakutana…

Read More

Mbelwa, Mandonga kupeana vitasa Lindi

MABONDIA Karim Mandonga ‘Mtu Kazi’ na Said Mbelwa wanapeleka burudani ya ngumi mjini Ruangwa, Lindi. Pambano la Light Heavy litachezwa siku ya Idd Pili na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Mapromota Tanzania, Everest Ernest alisema pambano hilo litaambatana na mapambano mengine 10 ya utangulizi…

Read More

Ujumbe wa Karia CAF na maana yake

JUMATANO Machi 12, mwaka huu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia alifanikiwa kupigiwa kura za ndio zilizomuwezesha kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Ushindi huo umemfanya Karia kuwa Mtanzania wa tatu kuhudumu katika nafasi hiyo akitanguliwa na hayati Said El Maamry na Leodegar Tenga ambao walipata…

Read More

Hamdi ajichorea ramani ya ubingwa

LIGI Kuu imesimama hadi Aprili Mosi wakati ngarambe ya lala salama itapigwa hadi bingwa wa msimu huu atakapopatikana Mei 25, lakini kocha wa watetezi wa taji hilo Yanga, Miloud Hamdi amejipata kwa kukiangalia kikosi alichonacho na mechi zilizosalia anaona nafasi ya kutetea ni kubwa. Yanga imesaliwa na mechi nane ikiwamo wa Dabi ya Kariakoo iliyokwama…

Read More

Mangungu atoa kauli Yanga kwenda CAS

MWENYEKITI wa Simba SC, Murtaza Mangungu amegusia taarifa ya Klabu ya Yanga kuwa inataka kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), kudai pointi tatu za mchezo wa Kariakoo Dabi ambao uliahirishwa, akisema “hata wakienda sped” wao hawana hofu. Mangungu amezungumza hilo jana Ijumaa, katika mahojiano ya Mwananchi Digital mara baada ya ushindi wa…

Read More