WatendajI Ofisi ya Waziri Mkuu watakiwa kuedelea kuratibu vyema taarifa za utekelezaji wa Serikali kwa manufaa ya Taifa.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu wamehimizwa kuratibu vyema taarifa za utekelezaji wa Serikali ya Awamu ya Sita na kuzisemea kazi hizo kwa wananchi ilia wapate uelewa wa uhakika wa miradi ya maendeleo iliyofanywa na Serikali katika maeneo yao. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi…

Read More

Huko Bangladesh, nadhiri kuu za UN kuzuia mateso ya Rohingya kama misaada inapunguzwa – maswala ya ulimwengu

“Huu ni ziara yangu ya kila mwaka ya Ramadhani, wakati huu kwa mshikamano na wakimbizi wa Rohingya na na watu wa Bangladeshi ambao wanawakaribisha kwa ukarimu,” Bwana Guterres aliambiwa Waandishi wa habari katika Cox's Bazar. Wakati wa ziara yake, Katibu Mkuu alisema alikuwa amesikia ujumbe mbili muhimu kutoka kwa wakimbizi: hamu yao ya kurudi salama…

Read More

GOODNESS GRAYSON ATOA SHUKRANI UONGOZI HOSPITALI YA WILAYA YA SAME KWA HUDUMA BORA

Na Ashrack Miraji Michuzi Tv   Goodness Grayson Ketto ameonesha shukrani zake kwa huduma bora alizozipata wakati alipojifungua mtoto njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Same. Katika mahojiano maalum na mwandishi wetu, Grayson alielezea jinsi huduma za afya kutoka kwa wauguzi na madaktari zilivyokuwa muhimu kwa usalama wake na wa mtoto wake. Alisema kuwa hospitali hiyo…

Read More

WAZIRI RIDHIWANI AZINDUA BODI YA WADHAMINI YA NSSF

  *Aitaka Bodi kutekeleza majukumu kwa kuzingatia sheria, sera na miongozo inayotolewa na Serikali *Mkurugenzi Mkuu asema NSSF inatekeleza azma ya Rais Dkt. Samia ya kuongeza wigo wa hifadhi ya jamii kwa kuwafikia wananchi waliojiajiri Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe….

Read More

Kimbembe cha mikopo kausha damu mitaani

Dar es Salaam. Ndani ya kipindi cha takribani miezi mitatu kumeibuka wimbi la malalamiko kuhusu mikopo umiza maarufu kausha damu, huku baadhi ya viongozi wa serikali za mitaa wakisema mengi yanaibuka baada ya wananchi kushindwa kulipa madeni. Malalamiko hayo kwa mujibu wa wenyeviti wa mitaa, yanatokana na wakopeshaji kuchukua mali za watu wanaoshindwa kulipa mikopo,…

Read More

Wawili wafariki dunia kwa kupigwa na radi Mlimba

Morogoro. Watu wawili wa familia moja wamefariki dunia katika kijiji cha Kalenga kata ya Mofu Halmashauri ya Mlimba baada ya kupigwa na radi wakiwa shamba, huku mmoja akipata mshtuko kutokana na radi hiyo. Akizungumzia tukio hilo diwani wa kata ya Mofu, Graison Mgonela amesema tukio hilo limetokea Machi 13 mwaka huu saa 11 jioni ambapo…

Read More

Ujenzi daraja la Pangani wafikia asilimia 38

Tanga. Ujenzi wa daraja la Pangani linalounganisha barabara ya Tanga-Pangani-Bagamoyo umekamilika kwa asilimia 38 imeelezwa. Mhandisi wa mradi huo, Gladson Yohana amebainisha hayo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iliyotembelea na kukagua maendeleo ya  mradi huo leo Machi 14, 2025. Amesema ujenzi wa daraja hilo lenye urefu wa mita 525 linalogharimu  Sh88.2…

Read More