Dorothy Semu asimulia walivyozuiwa kwa saa nane Angola

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema alishtuka baada ya kuona wanatengwa kwa makundi baada ya kuzuiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro jijini Luanda, Angola. Semu, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walizuiwa na…

Read More

Utekelezaji maazimio changamoto kwa nchi za EAC

Arusha. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Veronica Nduva, amesema ni muhimu kuwa na mfumo madhubuti wa ufuatiliaji na utekelezaji wa maazimio na ahadi zinazotolewa na nchi wanachama ili kuimarisha uwajibikaji na kufanikisha utekelezaji wa ajenda za ujumuishaji wa kanda. Akihutubia mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Huduma za Umma na Mawaziri…

Read More

Dorothy Semu asimulia walivyouiwa kwa saa nane Angola

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema alishtuka baada ya kuona wanatengwa kwa makundi baada ya kuzuiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro jijini Luanda, Angola. Semu, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walizuiwa na…

Read More

TCRA : VYOMBO VYA UTANGAZAJI VITENDE HAKI KWA VYAMA VYOTE VYA SIASA, TUSIWEKE CHUMVI NA UTANI

Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka Akizungumza katika Mkutano wa Misa Tanzania na Wadau (MISA-TAN – Wadau Summit 2025) Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka…

Read More

WASIRA:CCM HAITAKUBALI KUONA MTU YEYOTE ANAVURUGA UMOJA,AMANI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Makamu Mwenyekiti wake Tanzania Bara Stephen Wasira amesema Chama hicho hakitakuwa tayari kumvumilia mtu yeyote anayetaka kuvuruga Umoja na amani iliyopo nchini. Wasira alitoa kauli hiyo leo Machi 14,2025 alipokuwa akizungumza na wana CCM pamoja na wananchi wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe ambako ameanza ziara ya kikazi…

Read More