Walimu Mbeya wapelekwa Dubai ‘kutalii’

Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imefanya jambo la kipekee kwa walimu waliosaidia kuboresha kiwango cha ufaulu wa masomo katika shule za msingi na sekondari kwa kuwapeleka Dubai. Walimu hawa watajifunza na pia kupata fursa ya kutalii, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuboresha elimu katika mkoa huo. Ahadi hiyo ilitolewa Julai 16 mwaka jana na…

Read More

Wauza pombe kali watano wafikishwa mahakamani

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa Kagera imewafikisha mahakamani wafanyabiashara watano wauzaji na wazalishaji vinywaji vikali wilayani Karagwe. Watano hao wamefunguliwa kesi mbili zenye mashtaka tisa yanayohusisha kuendesha viwanda bandia bila Leseni ambavyo vinatumika kuzalisha bidhaa hizo na kuuza bila kuwa stika zilidhibitishwa na TRA. Washtakiwa hao wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba,…

Read More

Kada CCM adaiwa kupotea, Polisi waanza uchunguzi

Mwanza. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chonchorio anadaiwa kupotea tangu Machi 23, 2025 baada ya kutoka nyumbani akidai anakwenda kufanya mazoezi. Akizungumza na Mwananchi Jumatatu Machi 24, 2025 nyumbani kwa kada huyo mtaa wa Temeke wilayani Nyamagana, dada yake, Monari Nyanswi amesema kaka yake hakurudi tangu siku hiyo alipotoka nyumbani…

Read More

Wauza pombe kali watano wafikisha mahakamani

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa Kagera imewafikisha mahakamani wafanyabiashara watano wauzaji na wazalishaji vinywaji vikali wilayani Karagwe. Watano hao wamefunguliwa kesi mbili zenye mashtaka tisa yanayohusisha kuendesha viwanda bandia bila Leseni ambavyo vinatumika kuzalisha bidhaa hizo na kuuza bila kuwa stika zilidhibitishwa na TRA. Washtakiwa hao wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba,…

Read More

WAFANYAKAZI WASHAURIWA KUWEKEZA KABLA YA KUSTAAFU

Na. Josephine Majura, WF, Mwanza Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi wameshauriwa kujifunza kuhusu uwekezaji mapema ili kuhakikisha kuwa baada ya kustaafu wanaendelea kuishi maisha mazuri, kama walivyokuwa kazini. Ushauri huo umetolewa na Afisa Masoko Mwandamizi, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT – AMIS, Bw. Rahim Mwanga, wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa kwa…

Read More

ELIMU MASHULENI- NBAA YAWAFIKIA ECKERNFORD

  Wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi  wanaosoma masomo ya biashara katika Shule ya Sekondari ya Eckernford mkoani Tanga. Mkuu wa shule ya Sekondari ya Eckernford akiwatambulisha na kuwakaribisha wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika…

Read More