Ahoua, Kibu wafunika, Simba ikiifyatua Dodoma jiji

TUSIZOEANE. Ni kama onyo kali vile ilichofanya Simba jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwa kuweka rekodi ya kibabe huku wakipunguza utofauti wa pointi kati yao na Yanga ambao wanakimbizana nao kwenye vita ya ubingwa. Simba iliyofikisha pointi 57, moja pungufu na ilizonazo Yanga yenye 58 kileleni zote…

Read More

WASIRA APIGILIA MSUMARI KUZUILIWA KWA VIONGOZI WA UPINZANI KUINGIA ANGOLA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira ameeleza kuwa Serikali haiwezi kueleza chochote kuhusu kuzuiliwa kwa viongozi wa upinzani kuingia nchini Angola. Wąsira ameyasema hayo leo Mkoani Songwe alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe ambapo amesema amesoma vyombo Vya…

Read More

MAMIA YA WAFANYABIASHARA WASHIRIKI SEMINA YA KODI MLIMBA

Farida Mangube, Morogoro Wafanyabiashara wa Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, wamejitokeza kwa wingi kushiriki semina ya elimu ya kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Morogoro ikiwa na lengo la kuwambusha muhinu wa kulipa kodi Akizungumza Katika Semina hiyo Meneja wa TRA Mkoa wa Morogoro, Bw. Sylver Rutagwelera,mesema semina hiyo ni…

Read More

DC KIBAHA AFUNGUA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI DAWASA

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson Simon amefungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Akifungua kikao hicho katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere Wilayani Kibaha, Mhe Nickson amewapongeza wajumbe wa baraza hilo kwa kazi nzuri wanayoifanya inayopelekea kutoa huduma bora kwa wananchi….

Read More

Wanaume hatarini zaidi kufa kwa NCDs kuliko wanawake

Dar es Salaam. Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imeonesha wanaume wapo hatarini zaidi kufa kwa magonjwa yasiyo ambukiza (NCDs), ikilinganishwa na wanawake. Takwimu hizo zinaonesha vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyo ambukiza vimeongezeka kutoka asilimia 34 mwaka 2019 mpaka kufikia 38.8 mwaka 2021. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Health Promotion Tanzania…

Read More

Watoa mbinu kuongeza watalii kutoka maeneo mapya

Unguja. Wakati wageni 82,750 wameingia Zanzibar Februari ikiwa ni sawa na upungufu wa asilimia 1.6 ikilinganishwa na walioingia visiwani humo Januari mwaka huu, sekta husika zimeshauriwa kuongeza vivutio na kuitangaza Zanzibar katika mataifa ambayo hayajavutika kuitembelea. Mtakwimu kitengo cha takwimu za utalii kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Fatma Hilali amesema…

Read More

Serengeti Girls kanyaga twende | Mwanaspoti

TIMU ya taifa ya wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kesho itashuka Uwanja wa Levy Mwanawasa, Zambia kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia. Ni mchezo wa kufa ama kupona kwa timu hiyo ambayo inatafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia itakayofanyika mwaka huu Morocco huku Tanzania ikishiriki kwa msimu…

Read More