Rombo waanza kuzalisha unga wa ndizi

Rombo. Wakulima wa ndizi, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro wamebuni mbinu mpya ya kujipatia kipato baada ya kuanza kuchakata ndizi na kupata unga wa uji na mtori. Inaelezwa kuwa unga huo huuzwa maeneo mbalimbali nchini na kilo moja huuza kwa hadi Sh10,000. Wakulima hao  wameanzisha kiwanda kidogo chenye thamani ya Sh100 milioni katika Kijiji Cha…

Read More

Nini hatma ya masharti magumu ya Rais Putin kwa Ukraine

Rais wa Russia, Vladimir Putin, ameeleza kuwa anakubaliana na wazo la kusitisha mapigano nchini Ukraine, lakini ameweka masharti magumu kwa ajili ya amani ya kudumu.  Hii inakuja baada ya Ukraine kukubali mpango wa kusitisha mapigano wa siku 30 kufuatia mazungumzo na Marekani.  Hata hivyo, masharti aliyoweka Putin yameleta utata mkubwa, huku Rais wa Ukraine, Volodymyr…

Read More

Raundi saba za presha vibonde Ligi Kuu Tanzania Bara

Mambo yanaonekana kutokuwa mazuri kwa timu 10 ambazo bado hazina pointi za kuzifanya ziwe katika uwezekano salama wa kubakia katika Ligi Kuu ingawa timu sita zilizopo juu kwenye msimamo wa ligi hazina presha kubwa. Zimebaki raundi saba tu msimu kumalizika na timu hizo 10 kila moja hivi sasa hapana shaka inajipanga na kufanya tathmini ya…

Read More

Upimaji vinasaba waongezeka, uhalali wa watoto watajwa

Dodoma. Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imesema majalada 524 yasiyohusiana na masuala ya jinai ikiwemo ya kutaka uhalali wa wazazi wa mtoto yamechunguzwa ndani ya kipindi cha miaka minne. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sayansi Jinai wa mamlaka hiyo, Fidelis Bugoye ameyasema hayo leo Machi 14, 2025  wakati wa kuelezea mafanikio…

Read More

CHUKUA CHAKO MAPEMA NA MERIDIANBET LEO

IJUMAA ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na LALIGA pale kuna mchezo mmoja ambapo UD Las Palmas atakipiga dhidi ya Deportivo Alaves huku nafasi ya kushinda pale Meridianbet akipewa mgeni kwa ODDS…

Read More

Manula, Samatta kuwakosa Morocco | Mwanaspoti

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametangaza kikosi cha mastaa 24 kitakachoingia kambini kesho Jumamosi, huku nahodha Mbwana Samatta na kipa Aishi Manula wakitemwa kwa sababu tofauti, huku akiwapotezea mastaa watatu wa Singida BS waliobadili uraia. Stars inajiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026…

Read More

ZEC yaita wasiochukua vitambulisho vya mpigakura

Unguja. Wakati Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ikiendelea na uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura, bado wapo wananchi wanaojiandikisha lakini hawaendi kuchukua vitambulisho. Kutokana na hilo, ZEC imewataka wafuatilie kwani hiyo ni haki yao na wasipochukua vitambulisho hatawaweza kushiriki kuchagua viongozi wanaowataka wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba, mwaka huu. Mkurugenzi Uchaguzi ZEC, Thabit Idarous…

Read More

Kitakachofuata baada ya SADC kuondoa vikosi DRC

Dar es Salaam. Uamuzi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuondoa vikosi vyake vya kulinda amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), unatajwa kuwa mbinu ya kushinikiza njia mbadala ya kuisaka amani nchini humo. Kwa upande mwingine, uamuzi huo unaelezwa ni dalili ya vikosi hivyo vinavyojulikana SAMIDRC kusalimu amri, baada ya…

Read More