Usichokijua kuhusu kuachia chumba cha gesti saa 4 asubuhi

Dar/Mikoani. Umewahi kujiuliza ni kwa nini nyumba za kulala wageni muda wa kukabidhi chumba ni saa nne asubuhi, usipokabidhi inakuwaje? Ni maswali magumu kuyajibu lakini mepesi kueleweka hasa kwa wanaosafiri kila mara, baadhi wakikabiliana na adha ya kuondolewa vyumbani muda huo unapowadia. Hata hivyo, si wahudumu wala wamiliki wa nyumba hizo wenye majibu sahihi ni…

Read More

Japan yaipa Tanzania msaada wa Sh27.3 bilioni

Dar es Salaam. Hospitali saba za rufaa nchini zinatarajiwa kunufaika na vifaatiba vipya kwa ajili ya kuimarisha huduma za mama na mtoto zinazotolewa. Vifaa hivyo ni vile vitakavyonunuliwa kupitia Sh27.3 bilioni zilizotolewa na Serikali ya Japan kama msaada kwa ajili ya kuboresha huduma hizo katika hospitali za Dodoma, Tumbi (Pwani), Mount Meru (Arusha), Sekou-Toure (Mwanza),…

Read More

Mume mbaroni kwa mauaji ya mke

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia, Mashaka Mwoga (36), mkazi wa Chipaka Mjini Tunduma, wilayani Momba, kwa tuhuma za kumuua mke wake Gloria Anton (32) kwa kumnyonga, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni sababu za wivu wa mapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augostino Senga, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa…

Read More

MSD kujenga maghala mapya mikoa mitano

Dodoma. Bohari ya Dawa (MSD) inatarajia kuanza ujenzi wa maghala mapya katika mikoa ya Geita, Kilimanjaro, Dar es Salaam, Mwanza na Ruvuma ili kuimarisha uwezo na kutatua changamoto za utunzaji wa bidhaa za afya. Ujenzi huo umepangwa kuanza mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mradi wa ghala la kisasa la kuhifadhia bidhaa za afya…

Read More

Balozi aeleza kilichowakuta Othman, Lissu Angola

Dar es Salaam. Wakati ACT-Wazalendo ikihoji ukimya wa Serikali kuhusu viongozi wake wakuu kuzuiliwa kuingia nchini Angola, Balozi wa Tanzania nchini Angola, Luteni Jenerali Mathew Mkingule ameeleza kilichotokea. Jana Machi 13, 2025 Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu pamoja na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walizuiwa kuingia nchini Angola…

Read More

Tanzania imejiweka kimkakati soko la nishati Afrika

Dar es Salaam. Tanzania imekuwa mdau muhimu katika mijadala ya nishati duniani, ikitumia mipango yake ya kimkakati na rasilimali zake nyingi kuendeleza sekta hiyo kwa kiwango kikubwa. Hatua hii inaifanya nchi hii kujipambanua kama kinara katika mchakato wa mpito wa nishati barani Afrika, baada ya kuwa mwenyeji wa mikutano mikubwa minne ya nishati ndani ya…

Read More

Balozi Kombo: Diaspora leteni fursa nyumbani, Serikali itawaunga mkono

Dar es Salaam. Serikali imewahimiza Watanzania waishio ughaibuni kwenye mataifa mbalimbali kuchangamkia fursa zilizoko kwenye maeneo yao na kwamba, Serikali itawaunga mkono pale inapohitajika. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo Ijumaa Machi 14, 2025 wakati akifungua mafunzo ya ujasiriamali na uendeshaji wa biashara ya…

Read More