UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA

-Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi-SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea Dira ya Tanzania 2025 ambayo inasisitiza maendeleo endelevu ya nishati kama nguzo ya mabadiliko ya kiuchumi. Hayo yamebainishwa…

Read More

Aliyewaua wazazi kwa kuzuiliwa kulima ahukumiwa kunyongwa

Arusha. Mahakama ya Rufani iliyoketi Iringa, imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa, aliyokuwa amehukumiwa Marko Kivamba, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Matei Kivamba na mama yake wa kambo, Rozarina Nyingo. Tukio hilo lilitokea Machi 1, 2017 katika Kijiji cha Igomtwa wilayani Mufindi Mkoa wa Iringa. Miongoni mwa ushahidi uliomtia hatiani…

Read More

PAC YARIDHISHWA NA UJENZI WA GHALA JIPYA MSD DODOMA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka imetembelea  na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa ghala la kisasa la kuhifadhia bidhaa za afya linalojengwa na Bohari ya Dawa (MSD) katika eneo la Kizota, Mkoani Dodoma. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mhe. Kaboyoka ameipongeza MSD…

Read More

TANZANIA IPO SALAMA NA INAMAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI

Na Pamela Mollel,Arusha Serikali kupitia Wizara ya mambo ya ndani imewahakikishia wawekezaji pamoja na watanzania kuwa Tanzania ipo salama na inafursa nyingi ukilinganisha na Nchi zingine Duniani Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Innocent Bashungwa mara baada ya kufungua Mkutano wa 62 wa bodi ya kimataifa ya…

Read More

Umeme wa jotoardhi kuunganishwa giridi ya Taifa 2030

Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu. Hatua hiyo ni utekelezaji wa mkakati wa Dira ya Tanzania 2025 inayosisitiza maendeleo endelevu ya nishati kama nguzo ya mabadiliko ya kiuchumi. Hayo yamebainishwa leo Ijumaa Machi 14, 2025 na Katibu Mkuu…

Read More

Putin akubali kusitisha mapigano Ukraine, atoa masharti matatu

Rais wa Russia, Vladimir Putin amekubali kwa kanuni pendekezo la kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa muda wa siku 30 lililowasilishwa na Marekani, lakini ameweka masharti kadhaa. Amesisitiza kuwa vipengele muhimu vinahitaji kujadiliwa zaidi ili kuhakikisha amani ya kudumu. Masharti yaliyotolewa na Putin ni pamoja na Ukraine kutotumia kipindi cha kusitisha mapigano kujihami upya au kupokea…

Read More

Usichokijua kuhusu ulaji wa uyoga na maajabu yake

Dar es Salam. Uyoga  ni chanzo kizuri cha madini ya chuma, shaba na protini ambayo hufanya vizuri katika mwilini wa binadamu. Kama ulikuwa hufahamu uyoga una nyuzi nyuzi nyingi na hauna mafuta  na chumvi ya sodium. Mtaalamu wa Sayansi na Teknolojia ya Chakula, Francis Modaha, anasema uyoga una kundi la vitamini B kwa wingi, yaani vitamini B2  (Riboflavin), Niacin na Pantothenic acid. Anasema…

Read More