
Usichofahamu kuhusu waziri wa kwanza mwanamke Tanzania
Imeandikwa na Mzee wa Atikali: Buriani mama yangu mkubwa Tabitha Siwale, waziri wa kwanza mwanamke “Mama Tabitha Siwale became Tanzania’s first female Minister in 1975”. Prof. M. Mwandosya, Jan. 20, 2014. “Pole sana Ganga. Hiki ni kilio chetu sote tuliomfahamu Mama Siwale na Taifa pia. Mama Siwale alifungua njia za uhuru wa wanawake kujieleza na…