Usichofahamu kuhusu waziri wa kwanza mwanamke Tanzania

Imeandikwa na Mzee wa Atikali: Buriani mama yangu mkubwa Tabitha Siwale, waziri wa kwanza mwanamke “Mama Tabitha Siwale became Tanzania’s first female Minister in 1975”. Prof. M. Mwandosya, Jan. 20, 2014. “Pole sana Ganga. Hiki ni kilio chetu sote tuliomfahamu Mama Siwale na Taifa pia. Mama Siwale alifungua njia za uhuru wa wanawake kujieleza na…

Read More

Kichocheo ukuaji uchumi Tanzania chatajwa

Arusha. Uwajibikaji na uwazi katika rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia Tanzania, unatajwa kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza imani ya wananchi kwa Serikali kuhusu namna rasilimali zinavyowanufaisha. Pia, Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji ili rasilimali hizo ziweze kuinua uchumi kuanzia wa mtu binafsi hadi Taifa kwa ujumla. Waziri wa Mambo…

Read More

Aishi Manula kuna nini? | Mwanaspoti

YUKO wapi Manula? Kuna nini kinaendelea? Ni maswali yanayosumbua kwa sasa vichwani mwa mashabiki wa soka baada ya kipa huyo tegemeo wa timu ya Taifa kutoonekana uwanjani kwa muda mrefu. Baada ya kuwepo kwa tetesi za kipa Moussa Camara kuumia katika mechi dhidi ya Azam, wengi waliamini ilikuwa nafasi ya Manula kurudi langoni. Hata hivyo,…

Read More

Hii hapa tiba ya figo zilizofeli

Figo ni kiungo muhimu sana mwilini. Mungu ametupa figo mbili moja kulia na nyingine kushoto, ziko tumboni chini ya mbavu. Figo huanza kazi tangu mtoto akiwa tumboni mwa mama yake. Kazi ya figo ni kuchuja damu, kuondoa taka mwili, kudhibiti uwiano wa madini na maji mwilini. Figo pia husaidia mchakato wa kutengemeza damu na kuimarisha…

Read More

Nurdin Bakari ashtukia jambo Bara

BEKI wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, Nurdin Bakari amesema amekuwa akiifuatilia kwa ukaribu Ligi Kuu ya msimu huu na kubaini kuna uwezekano mkubwa yale yaliyojitokeza msimu wa 2016-2017 yakajirudia kwa bingwa kuchukua ubingwa kwa tofauti ya uwiano wa mabao. Nurdin aliliambia Mwanaspoti kwamba hadi sasa ni ngumu kutabiri timu ipi itabeba ubingwa…

Read More

KONA YA WASTAAFU: Nyongeza ya Pensheni ya wastaafu inapooteshwa mbawa!

Oktoba 2024, iliyopita, siri-kali ilijikanyaga katika kile ilichookita ni kumsaidia mstaafu wake wa Kima cha Chizi kuweza kukabiliana na hali ngumu ya maisha iliyokuwa ikimkabili. Ilimtangazia mstaafu huyo nyongeza ya pensheni ya Sh50,000 ambayo ukiongeza na ile laki moja kwa mwezi aliyokuwa akipata kwa miaka 21 nyuma, angekuwa sasa akipata Sh150,000. Siri-kali haikulazimishwa na yoyote….

Read More

Nyoni agoma kushuka daraja | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayeshikilia rekodi ya kucheza mechi nyingi akiwa na timu ya taifa, Taifa Stars, Erasto Nyoni anayeitumikia Namungo kwa sasa, amekataa kushuka na timu hiyo akisema licha ya kuwa na hali mbaya msimu huu, lakini bado wana nafasi ya kujisahihisha. Namungo iliyopanda daraja msimu wa 2019-2020 kwa sasa ipo nafasi ya…

Read More

Unene bado janga kwa wakazi wa mijini

Dar es Salaam. Kutokana na utafiti kubaini wakazi wa mijini kuwa na unene kupita kiasi ikilinganishwa waishio vijijini, wataalamu wa lishe na afya ya binadamu wameeleza aina ya maisha wanayopaswa kuishi wakazi wa mijini. Wataalamu hao wanaeleza hayo wakati uhalisia wa maisha ya wakazi wa mijini yakionyeshwa kwenye Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi…

Read More

Che Malone ashtua Simba | Mwanaspoti

SIMBA inashuka uwanjani leo kumalizana na Dodoma Jiji katika mchezo wa kiporo cha Ligi Kuu Bara, lakini ndani ya kambi ya Wekundu wa Msimbazi, kuna taarifa inayoshtua juu ya beki wa kati Che Malone Fondoh. Beki huyo aliyeumia katika mchezo dhidi ya Azam FC uliopigwa Februari 26 na kumalizika kwa sare ya mabao 2-2 huku…

Read More

Makosa yanayofanywa na wafungaji Saumu ya Ramadhani

Baadhi ya watu wanafunga bila kuelewa hukumu zake, jambo linalowafanya waingie katika makosa kwa sababu ya kutokujua na hivyo kupunguza thawabu za Saumu zao au kuathiri ukamilifu wake. Hivyo inampasa Muislamu anayetaka alipwe thawabu timilifu,  ajifunze vizuri ibada yoyote kabla ya kuianza, ili aweze kumuabudu Allah Mtukufu kwa ujuzi, maarifa na ufahamu sahihi. Mtume (Rehema…

Read More