Simba V Dodoma Jiji… Ni mechi ya kisasi

UMUHIMU wa pointi tatu za mchezo wa leo baina ya Simba na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu Bara, zinatoa majibu ya namna upinzani unaotarajiwa kuwepo muda wote wa dakika 90 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam saa 10:00 jioni. Simba inayoshika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 54,…

Read More

Mambo haya yatakusaidia kudhibiti kisukari

Ukiwa na kisukari si hukumu ya kifo, bali ni hali ya kiafya inayohitaji usimamizi wa makini ili kuendelea kuishi maisha yenye afya na furaha. Wagonjwa wa kisukari wanaweza kudhibiti ugonjwa huu na kuishi vizuri kwa kufuata mtindo sahihi wa maisha, kutumia dawa ipasavyo na kupata elimu sahihi kuhusu hali yao. Ukigundulika kuwa una ugonjwa wa…

Read More

Uyoga unavyosaidia kuimarisha mishipa ya fahamu

Dar es Salam. Uyoga  ni chanzo kizuri cha madini ya chuma, shaba na protini ambayo hufanya vizuri katika mwilini wa binadamu. Kama ulikuwa hufahamu uyoga una nyuzi nyuzi nyingi na hauna mafuta  na chumvi ya sodium. Mtaalamu wa Sayansi na Teknolojia ya Chakula, Francis Modaha, anasema uyoga una kundi la vitamini B kwa wingi, yaani vitamini B2  (Riboflavin), Niacin na Pantothenic acid. Anasema…

Read More

Jiandae na mabadiliko haya unapofunga

Hivi sasa Wakristo na Waislamu, wapo katika mfungo, hujinyima kula kwa saa kadhaa ili kutimiza imani zao. Bahati mbaya si wote wanaofunga miili yao huwa na ustahimilivu wa kushinda bila kula, hivyo hupata matatizo ya kiafya. Ikiwa umezoea kupata kifungua kinywa, chakula cha mchana, chakula cha jioni na vitafunio vya katikati kabla ya mlo mkuu,…

Read More

Hivi hapa vyakula sahihi, vya kuepuka unapofuturu

Ni msimu mwingine wa funga ya Ramadhan kwa waumini wa dini ya Kiislam duniani. Ni msimu ambao kwa mwaka huu umekwenda sambamba na mfungo wa Kwaresma kwa waumini wa Kanisa Katoliki duniani. Hata hivyo, unajua vyakula sahihi vya kutumia na kuepuka wakati wa kufuturu? Imezoeleka kwa wafungaji wengi vyakula vinavyoliwa kwa wakati huu ni aina…

Read More