
EWURA YAWAKUMBUSHA WAFANYABIASHARA YA MAFUTA KUFUATA SHERIA,KANUNI NA TARATIBU
MENEJA wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Mafuta (EWURA) Kanda ya Ziwa Bw.George Mhina,akizungumza wakati wa semina ya wadau wa biashara ya mafuta iliyofanyika ukumbi wa ELCT-Bukoba, mkoani Kagera leo 13 Machi 2025. Na.Mwandishi Wetu-Bukoba MENEJA wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Mafuta (EWURA) Kanda ya Ziwa Bw.George Mhina…