KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI KWA MABORESHO MAKUBWA YA MIUNDOMBINU BANDARI YA TANGA

Na Oscar Assenga,TANGA KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeipongeza Serikali kwa maboresho makubwa ya miundombinu katika Bandari ya Tanga ambayo yamekuwa chachu ya kuongeza ufanisi katika utendaji wake. Kauli ya Kamati hiyo ilitolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Seleman Moshi Kakoso baada ya kumaliza ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maboresho…

Read More

Siri vijana kubweteka, kubagua kazi

Mwanza. Wakati kukiwa na kundi la vijana linalojihusisha na michezo ya kubashiri, kudekezwa kwenye familia, kufuata mkumbo na kuchagua kazi baada ya kuhitimu masomo ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kuchangia tatizo hilo. Imeelezwa vijana wengi hujikuta wakiishia kucheza ‘Pool table’, michezo ya kubashiri, kukaa vijiweni na kusubiri wenzao wanaojishughulisha ili wawaombe kitu kidogo, maarufu kugongea….

Read More

Championship vita imehamia huku | Mwanaspoti

WAKATI Mtibwa Sugar ikizidi kupepea kileleni, kibarua kipo kwa miamba minne kusaka nafasi mbili za juu kwenye Championship kuitafuta Ligi Kuu msimu ujao. Hii ni baada ya Geita Gold kupoteza mechi yake dhidi ya Polisi Tazania 1-0, huku Mbeya City ikiinyuka mabao 3-0 Songea United na Stand United kutakata ugenini 3-0 dhidi ya Biashara United….

Read More

Nduda azikumbuka 5 za Simba

KIPA wa zamani wa Yanga, Simba na Taifa Stars, Said Mohammed ‘Nduda’ ameikumbushia Dabi ya Kariakoo aliyosimama langoni na kufungwa mabao manne wakati Yanga ikifa 5-0 mbele ya Simba katika pambano lililopigwa Mei 6, 2012, akisema limebaki kichwani mwa watu kutokana na kipigo hicho. Katika mechi hiyo iliyokuwa ya kufungia msimu wa 2011-2012, Nduda alimpokea…

Read More

Othman Masoud, Lissu wazuiwa uwanja wa ndege Angola

Angola. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu wanadaiwa kuzuiwa kuingia nchini Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika (PAD). Othman, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kwenye msafara wake ameambatana na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje…

Read More

Wazazi watakiwa kutoa kipaumbele kwa maendeleo ya watoto

Na. Leah Mabalwe, HAZINA Diwani wa Kata ya Hazina, Samwel Mziba, amewataka wazazi pamoja na walezi kuwa kipaumbele katika maendeleo ya watoto wao shuleni. Mziba, alisema hayo wakati wa kikao cha walimu pamoja na wazazi kilichofanyika katika Shule ya Msingi Mlezi kwa lengo la kuzungumzia maendeleo ya lishe bora kwa wanafunzi wa shule hiyo. “Kwanza…

Read More