Waziri wa kwanza mwanamke Tanzania afariki dunia

Dar es Salaam. Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa uwaziri katika Baraza la mawaziri la Tanzania, Tabitha Siwale (86) amefariki dunia. Dk Maka Siwale, mtoto wa marehemu akizungumza na Mwananchi leo Machi 13, 2025, amesema mama yake amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Hindu Mandal. Amesema mama yake aliyekuwa akisumbuliwa…

Read More

MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UJASIRIAMALI

▪️Amesema lengo ni kuongeza kipato cha wananchi kwa kijikita kwenye ufundi mahiri. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na mkakati wa kufungua milango ya ujasiriamali kwa kutekeleza sera na programu mbalimbali zitakazowasaidia wananchi kuendana na soko la ajira ili kujiongezea kipato. Ametoa kauli hiyo leo (Alhamisi Machi 13, 2025) alipoweka jiwe la msingi la…

Read More

Mziki wa Maxi wamgusa Hamdi

KIUNGO mshambuliaji, Maxi Nzengeli juzi alifunga mabao mawili wakati Yanga ikitinga 16 Bora kwa kuiondosha Coastal Union kwa mabao 3-1 katika mechi ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho, huku kocha Miloud Hamdi akishindwa kujizuia kwa namna nyota huyo anavyomsapraizi uwanjani.

Read More

Je, pesa yako iko salama au hatarini?

Matumizi ya pesa mtandaoni yameleta mageuzi makubwa katika kufanya miamala ya kifedha hapa nchini, ikiwapa mamilioni ya watu fursa ya kipekee ya kupata huduma za kifedha na kusaidia kubadilisha taswira ya uchumi wa nchi. Kwa mujibu wa ripoti ya FinScope Tanzania 2023, zaidi ya asilimia 72 ya Watanzania wanatumia huduma za pesa mtandaoni na huduma…

Read More

Singida BS yatangulia robo, yaing’oa KMC

BAO la kujifunga la kipindi cha kwanza la beki wa KMC, Abdallah Said ‘Lanso’ limeiwezesha Singida Black Stars kuungana na JKT Tanzania na Mbeya City kuwa za kwanza kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya Kombe la Shirikisho. Singida ilipata ushindi huo wa bao 1-0 jioni hii kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo mjini Babati…

Read More

Wanaharakati wanaogopa misitu ya Kenya iliyotishiwa kwa sababu ya maendeleo ya serikali – maswala ya ulimwengu

Wahifadhi wa mazingira wanaandaa miche ya miti ili kuongeza juhudi za upandaji miti kati ya wasiwasi unaokua kwamba Kenya inapoteza misitu yake. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Machi 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Mar 13 (IPS) – Baada ya ubishani wa kukomesha kwa miaka sita au marufuku ya muda…

Read More

Taasisi za Serikali zinavyosigana, kuibua migongano Zanzibar

Unguja. Wakati kukiwa na malalamiko ya kuendesha shughuli, biashara na ujenzi usiofuata taratibu, imebainika baadhi ya taasisi za Serikali kusababisha tatizo hilo na kuibua migongano huku kila upande ukijiangalia badala ya kuangalia masilahi ya umma na Serikali. Kadhalika, imebainika nyumba za biashara hususani hoteli hazina mikataba ya ukodishwaji wa ardhi jambo ambalo linatajwa kuikosesha mapato…

Read More