MENEJIMENTI YA SUA YAWAFUTURISHA JUMUIYA YA CHUO HICHO

FARIDA MANGUBE, MOROGORO Menejimenti ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) imeandaa futari maalum kwa Wanajumuiya wa Kiislamu wa Chuo hicho ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mshikamano na mahusiano bora kati ya wafanyakazi na wanafunzi. Hafla hiyo, imefanyika Katika Kampasi Kuu ya Edward Moringe iliyopo Manispaa ya Morogoro ilihudhuriwa na viongozi wa Baraza Kuu…

Read More

SERIKALI YAIONGEZEA OSHA WATUMISHI KUIMARISHA UTENDAJI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Mary Maganga akihutubia katika Kikao cha Nne cha Baraza la Tano la Wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha Mkoani Pwani Machi 29, 2025. Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi…

Read More

Vituo 10 vya bunifu kujengwa kwa gharama ya Sh15 bilioni

Unguja. Katika kukuza na kuwaendeleza wabunifu wa kidijitali na wajasirimali, vinajengwa vituo 10 vya bunifu nchini vitakavyogharimu Sh15 bilioni. Kati ya hivyo, vinane vitakuwa ni vya kukuza ujasiriamali wa kutengeneza mifumo na viwili vitakuwa vinatumika kutengeneza vifaa. Vituo hivyo vinavyojengwa katika mikoa minane, mifumo yake itaunganishwa ili fursa zinazopatikana nchini, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…

Read More

WANANCHI BABATI WALIA WIZI WA MIFUGO.

Na John Walter -Babati Wananchi wa Tarafa ya Mbugwe, wilayani Babati, mkoani Manyara, wameeleza kilio chao mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo, wakilalamikia wizi wa mifugo unaofanywa na watu wasiojulikana. Wazee wa jamii ya kifugaji wamesema kuwa wizi huo umekithiri katika tarafa hiyo, hali inayowaathiri kiuchumi na kuleta hofu…

Read More