Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 5, 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • 5
Kimataifa

UN inatoa mpango muhimu wa kupambana na antisemitism – maswala ya ulimwengu

April 5, 2025 Admin

Mpango wa utekelezaji, unaoongozwa na Umoja wa Mataifa wa Umoja wa Mataifa (UNAOC) na Ofisi ya Mshauri Maalum juu ya kuzuia mauaji ya kimbariilikuwa Ilizinduliwa

Read More
Habari

UONGOZI MPYA TEF 2025 – 2029

April 5, 2025 Admin

 ****** Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),limekamilisha safu ya uongozi wa Kamati ya Utendaji (KUT),baada ya wagombea 12 kuchaguliwa na kubakia saba. Mapema mchana wajumbe wa

Read More
Magazeti

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI APRILI 6, 2025

April 5, 2025 Admin

             

Read More
Kimataifa

Ofisi ya Haki za UN inataka kukomeshwa kwa 'uwepo haramu wa Israeli katika eneo lililochukuliwa la Palestina – maswala ya ulimwengu

April 5, 2025 Admin

Mkurugenzi mwenza wa Palestina wa maandishi, Basel Adra, aliwasilisha matamshi kwa Kamati ya UN juu ya utumiaji wa haki zisizoweza kutengwa za watu wa Palestina.

Read More
Habari

Rais Samia afanya uteuzi, yumo Balozi Sirro

April 5, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akimteua IGP mstaafu Balozi Simon Sirro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la

Read More
Habari

Askofu Mbilu: Tusiwachague wanaotoa rushwa kupata uongozi

April 5, 2025 Admin

Lushoto. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Msafiri Joseph Mbilu, amewataka waumini na Watanzania kwa ujumla kujiepusha

Read More
Habari

Safari ya maridhiano Lissu, Mbowe yaanza

April 5, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha) kupitia chombo maalumu (caucus) kilichoundwa kutatua migogoro limeanza mchakato wa maridhiano kutibu majeraha yaliyotokana na uchaguzi

Read More
Habari

Dk Nchimbi ajiapiza kwa Rais Samia, Wanaruvuma

April 5, 2025 Admin

Nyasa. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekula ‘kiapo’ mbele ya wananchi wa Ruvuma kwamba atakuwa mwaminifu na mweledi kumsaidia Rais

Read More
Habari

Samia atua zigo nafasi ya Jaji Mkuu

April 5, 2025 Admin

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hana dhamira ya kugombana na majaji, hivyo amedhamiria kumuacha Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma aliyebakiza miezi michache, aende kupumzika.

Read More
Habari

Samia atua zigo la majaji

April 5, 2025 Admin

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hana dhamira ya kugombana na majaji, hivyo amedhamiria kumuacha Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma aliyebakiza miezi michache, aende kupumzika.

Read More

Posts pagination

1 2 … 5 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.