
April 6, 2025


TAASISI YA BILLAL MUSLIM YATOA HUDUMA YA MACHO BURE KWA MAMIA YA WANANCHI TANGA
***** Na: Dk. Reubeni Lumbagala Taasisi ya Billal Muslim Mission of Tanzania (BMMT) ni taasisi ya kidini yenye kusaidia watoto, familia, jamii zisizojiweza kwa kuwasaidia huduma mbalimbali kama vile elimu, afya na maji bila kujali dini, kabila, hadhi, au jinsi ya mtu. Kwa miaka mingi, Taasisi hii ya Billal Muslim Mission of Tanzania imegusa maisha…

WAZIRI MKUU AWATAKA MABALOZI KUISHI FALSAFA ZA RAIS DKT. SAMIA
****** WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza diplomasia ya kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali duniani. Mheshimiwa Majaliwa amesema kufanya hivyo kutaiwezesha Tanzania kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali zikiwemo za viwanda, kilimo, biashara pamoja na kupata masoko ya bidhaa…

Kaya milioni 1.3 zanuafika na Tasaf nchini
Shinyanga. Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) umeendelea kuleta matumaini kwa maelfu ya Watanzania, huku zaidi ya kaya milioni 1.3 zikinufaika na mpango huo. Hayo yamesemwa jana Aprili 5, 2025 kwenye taarifa iliyotolewa na ofisa habari na mawasiliano wa Tasaf, Christopher Kidanga katika mkutano mkuu wa waandishi wa…

Vyma vya ushirika vyakemea upotoshaji wa stakabadhi ghalani
Mtwara. Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vya Tamcu, Mamcu, na Tanecu wamevitaka vyama vya siasa vya upinzani kuacha upotoshaji kuhusu mfumo wa stakabadhi ghalani, wakisema kuwa madai kwamba mfumo huo hauna tija kwa wakulima ni potofu. Wenyeviti hao wametoa kauli hiyo leo Aprili 6, 2025 mbela ya waandishi wa habari wakisisitiza kwamba vyama vya…

Wakazi wa magomeni Kota watoa siku 90 ya rasimu ya marekebisho ya mkataba
Na Mwandishi Wetu Wakazi waliokuwa Magomeni Kota wamepinga mkataba wa Sm Mpangaji mununuzi ulioandaliwa kwa upande wa Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi baada ya kubaini kiwepo kwa mapungufu ya kisheria na kiutekelezaji na kutaka majadiliano kwa pande mbili. Mkataba wa upqngaji ununuzi linatokana na maamuzi yaliyotokana kwa pande mbili hivyo kwa sasa tangu kuingia katika…

Watoweka kwa siku 70, familia zinaendelea kuwatafuta
Dar es Salaam. Kijana Gwakisa (27) Hobokela mkazi wa Tabata Kisiwani na Kelvin Montana Mushi (19) wa Mbezi Luis jijini Dar es Salaam wametoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa zaidi ya siku 70, familia zikihaha kuwatafuta. Kelvin na Gwakisa wametoweka tangu Januari 24 na 26 mwaka huu katika matukio mawili tofauti. Familia ya Kelvin inadai…

TAASISI YA UONGOZI KUFANYA KONGAMANO LA 8 KWA VIONGOZI WA AFRIKA
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV TAASISI ya UONGOZI inaandaa Kongamano la 8 la Kikanda la Viongozi wa Afrika linalotarajiwa kufanyika Aprili 7 – 8 mwaka 2025, jijini Kampala, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Uganda Yoweri Museveni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 5 Aprili 2025, Kongamano hili linaitishwa na Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho…

Dk Nchimbi alivyohitimisha ziara nyumbani kwao
Ruvuma. Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi mkoani Ruvuma imetamatika, huku akisisitiza wananchi kujiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 pamoja na kuilinda amani ya nchi. Mbali na hilo, amesema chama hicho kitaendelea kupambana usiku na mchana kuhakikisha inatatua changamoto za wananchi na kuwapelekea maendeleo ili kuchagiza ustawi wa…

Rais Samia kuhutubia Bunge Angola
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kulihutubia Bunge la Angola ikiwamo kufanya mazungumzo na Rais João Lourenço wa nchi hiyo. Rais Samia ambaye anaanza ziara ya siku tatu nchini humo kuanzia Aprili 7 hadi Aprili 9, 2025, mbali na kulihutubia Bunge pia ataweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa muasisi wa…